Ugua au pata ulemavu then ndio utajua haujui..Mke atakuwa anajibidisha sana kwa kila kitu lkn moyoni atakuwa hayumo kabisa, na hata "moto atakuwa hauwashi". Ataonekana kama mjomba tu.
Jamani ndoa Ina raha kama umeoa pisi inayouwehusha moyo ukiitazama. Na hata ukitoka nayo out inakuinulia hadhi na kukufanya ujione wewe ni mwanaume kati ya wanaume.
Kuna rafiki yangu kaoa pisi kali kiasi kwamba hataki hata kuchepuka, kwasabb kila nyapu anayokutana nayo anaiona haina hadhi ya kumfikia mkewe.
Wife material tupa kule, oeni pisi kali.
Hapa sayansi inafuataYn hua najiuliza, yn inakuwaje mwanamke anakuwa mbaya yn mwanamke unaanzaje kuwa mbaya 😂 mwanamke anatakiwa awe mzuri kwa njia halali hata haramu 😂
Umeongea ukweli mtupu, uzuri upo ndani ya (moyo)nafsi ya mtu anayemmpenda na sio watu wanaomuona, mtoto wako hata awe mbaya kiasi gani lakini wew utamuona kama malaika na hutatamani wa jirani kamwe!!We nyege ndo zinakusumbua.
Hayupo mwanamke mbaya wala mzuri kwa mumewe. Wewe wa nje ndo unaona huo ubaya au uzuri ila sio kwa mumewe, mme anaweza mwona mke mzuri kwa kias chake na mbaya kwa kias chake.
Nikama unavyozaa mtoto, huwezi kumwona mwanao mbaya hata siku moja atakama ni mweusi kama giza ni lazima utampenda ata ukiletewa mtoto mwingine wa kiarabu ukae nae bado utandelea kumpendelea wako.
MtaendamlipotokeaKwahiyo sie tulio na sura za baba tutaendawapi😃
MnatunyanyasaMtaendamlipotokea
Uoe pisi kali ,uoe sijui wa kawaida ila mwanaume hajawahi kurizika na mwanamke mmoja. Kuna watu wanapisi kali ila chepuka na demu wa kawaida, ukiwauliza watahamisha magoli na kusema mchepuko unamnato.Mke atakuwa anajibidisha sana kwa kila kitu lkn moyoni atakuwa hayumo kabisa, na hata "moto atakuwa hauwashi". Ataonekana kama mjomba tu.
Jamani ndoa Ina raha kama umeoa pisi inayouwehusha moyo ukiitazama. Na hata ukitoka nayo out inakuinulia hadhi na kukufanya ujione wewe ni mwanaume kati ya wanaume.
Kuna rafiki yangu kaoa pisi kali kiasi kwamba hataki hata kuchepuka, kwasabb kila nyapu anayokutana nayo anaiona haina hadhi ya kumfikia mkewe.
Wife material tupa kule, oeni pisi kali.
😀🤣Sahihi kabisa.
Raha ya kuchepuka ni uchepuke na pisi kali kumzidi mkeo, sasa ukiona kila mwanamke nje ni pisi kuliko mkeo ujue umeoa mwanaume mwenzako mwenye viungo vya kike.