Mwanga Mkali
JF-Expert Member
- Jul 8, 2018
- 1,302
- 2,473
mfanikio yanakuja na ww mwenyewe. mafanikio yanaanza na state of mind. sio kuoa wake wengi.Amani iwe kwenu!
Natoa wito kwa wanaume ili upate mafanikio ya haraka, oa mke zaidi ya mmoja, utaona nacho maanisha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mfanikio yanakuja na ww mwenyewe. mafanikio yanaanza na state of mind. sio kuoa wake wengi.
kama akili huna.. hata uoe dunia nzima hutofanikiwa.
acha unzinzi kenge ww
Kuoa sio uzinzi bwasheemfanikio yanakuja na ww mwenyewe. mafanikio yanaanza na state of mind. sio kuoa wake wengi.
kama akili huna.. hata uoe dunia nzima hutofanikiwa.
acha unzinzi kenge ww
ππππmfanikio yanakuja na ww mwenyewe. mafanikio yanaanza na state of mind. sio kuoa wake wengi.
kama akili huna.. hata uoe dunia nzima hutofanikiwa.
acha unzinzi kenge ww
yes sio unzinzi.. but kuoa hakukupi akili. kama huna huna tu.Kuoa sio uzinzi bwashee
Mwanaume anao wajibu kwa mwanamke na ni tulizo, faraja, na maendeleoNahunga mkono hoja kwanza wako wengi sana bila kuoa wengi wengine watakosa neema ya ndoa hivyo basi ni jukumu letu kuwasitiri
Fikra zinachajiwa na ongezeko la majukumu.... Acha kujicheleweshea maendeleo bwashee kamata mdada anae jitambua ongeza mke. Usiwe muoga ukaishia uzinifu.yes sio unzinzi.. but kuoa hakukupi akili. kama huna huna tu.
mafanikio yako yanaletwa na fikra zako. si kuoa wake wengi
Nilipokuwa na mke mmoja tulivuna kadri Allah alivyo jalia tukajenga nyumba mbili plus hii ya ghorofa tatu alipo bi mkubwa... Nikamwambia naongeza mke unaonaje akasema ewala bwana nikaongeza... Baada ya huyu mdogo kuja nikamweka floor ya pili... Alipo pata ujauzito akadai anataka nyumba yake nikaharakisha kujenga bahati nzuri nimeichukulia na mkopo naona biashara inakuwa zaidi ...najiuliza ingekuwaje nisingemuoa huyu.Mke zaidi ya mmoja unajenga vita ya wanawake na ni umasikini wa fikra.
Kama umefeli maisha umefeli tu.
Ukiachilia mbali tamaa, fikiria maumivu ya hao wanawake kila unapotaka kuoa tena.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mfanikio yanakuja na ww mwenyewe. mafanikio yanaanza na state of mind. sio kuoa wake wengi.
kama akili huna.. hata uoe dunia nzima hutofanikiwa.
acha unzinzi kenge ww
πππππππacha unzinzi kenge ww/
fikra haziletwi na ongezeko la majukumu.Fikra zinachajiwa na ongezeko la majukumu.... Acha kujicheleweshea maendeleo bwashee kamata mdada anae jitambua ongeza mke. Usiwe muoga ukaishia uzinifu.