Ukioa mke mmoja akili haifanyinyi kazi!

Ueni tu kwaraha zenu!
Asante, kuna waoga wachache wanadai ooh kuoa sio kupata akili wana sahau siongelei uzinifu ni kuoa kwa heshima, kufunga ndoa na wanawake uwapendao.. mwanaume mwenye uwezo wa kuoa mke zaidi ya mmoja he is stress free, hivyo anakuwa na muda wa kutosha kufikiria namna ya kukuza mapato yake.
 
Baada ya wewe kupata stress unataka wengine wapate?
Pambana na hali yako kwan ulitumwa uoe wake wengi???
 
Usioe kwa sababu wanawake wako wengi Duniani,

Usioe mke zaidi ya mmoja kwa sababu Dini imekuruhusu Tu,

Usioe mke zaidi ya mmoja kwa sababu mila yako inaruhusu,

Usioe kwa sababu unahitaji starehe kutoka kwa wanawake hao. Au kujifaharisha kwa wanao kutazama,

Utapata Tabu katika ndoa. Zako.

Bali oa wanawake hao wakati teyar unajua ni nini maana ya Uadilifu.

Na zingatia pia hili neno. (vitimbi vya wanawake ni vikubwa)

Jitambue na fahamu angalau kwa uchache madhaifu ya mwanamke ulie muoa / waoa

Ukizingatia machache hayo miongoni mwa mengi. Utaipata hiyo faida ya kuoa mke zaidi ya mmoja

Na maendeleo yasio pasua kichwa hakika,

Na utajivunia kua na raha ya kua na mke zaidi ya mmoja

Nawasilisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…