Umeanza kuendesha gari leo sheikh?Wale mabwana wana njaa hatari, hata buku buku wanachukua. Ole wako utoe leseni bila kiambatanisho utaulizwa hadi "herro, kwa nini tairi za gari yako zina vumbi?, nakuandikia kosa...
Hahahah, leo mbona nimetoa bila kiambatanisho na sijapigwa fine yeyote?Wale mabwana wana njaa hatari, hata buku buku wanachukua. Ole wako utoe leseni bila kiambatanisho utaulizwa hadi "herro, kwa nini tairi za gari yako zina vumbi?...
RushwaKitambulisho cha nini mkuu
Lazima uwe na Fotocopy ya CV na Academic transcript ili wajue wewe ni msomi au wewe ni mweupeKitambulisho cha nini mkuu
Na wale mabwana hata hawana muda wa kuangalia kama hii pesa ni fekiWale mabwana wana njaa hatari, hata buku buku wanachukua. Ole wako utoe leseni bila kiambatanisho utaulizwa hadi "herro, kwa nini tairi za gari yako zina vumbi?, nakuandikia kosa.
Ukiombwa leseni, toa na kiambatanisho baadaye utakuja nishukuru nimekaa pale!...
Sio ya kiwi tena?Rushwa imetamalaki.
[emoji23][emoji23]Kama unaendesha gari ya million 15 kushuka chini we tayari una makosa inabidi uwe mpole haijalishi umelipia kila kitu na umeweka tairi mpya kitendo cha kuwa na IST tayari umevunja sheria za barbarani
Nasikia hawarudishagi chenji,Na wale mabwana hata hawana muda wa kuangalia kama hii pesa ni feki
Sijawahi kukutana na upuuzi huu na nipo barabarani miaka zaidi ya kumiRushwa
Sijawahi ona uzwanzwa wa kiasi hiki barabarani! Sidhani kama kuna mtu ambae hayupo timamu kiasi hiki barabarani labda kama leseni umenunua!Lazima uwe na Fotocopy ya CV na Academic transcript ili wajue wewe ni msomi au wewe ni mweupe