Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huoni ni advantage kwa watoaji...?una print elfu kumikumi nyiingiii.... unawagawiaNa wale mabwana hata hawana muda wa kuangalia kama hii pesa ni feki
Utakuwa p*lis* wewe siyo bure!!Tumeshajua kwamba una gari swala la kutoa rushwa inaonyesha ulivyo maskini gari halijakamilika.
Acha uongo. Acha chumvi.Wale mabwana wana njaa hatari, hata buku buku wanachukua. Ole wako utoe leseni bila kiambatanisho utaulizwa hadi "herro, kwa nini tairi za gari yako zina vumbi?, nakuandikia kosa.
Ukiombwa leseni, toa na kiambatanisho baadaye utakuja nishukuru nimekaa pale!.
NAsisitiza ELEWA neno KIAMBATANISHO!Ukiombwa leseni, toa na kiambatanisho baadaye utakuja nishukuru nimekaa pale!.
Cha Taifa kile kizuriKitambulisho cha nini mkuu
Niliulizwa kwanini nimefunga tyre za shengshang na bridgestoneWale mabwana wana njaa hatari, hata buku buku wanachukua. Ole wako utoe leseni bila kiambatanisho utaulizwa hadi "herro, kwa nini tairi za gari yako zina vumbi?, nakuandikia kosa.
Ukiombwa leseni, toa na kiambatanisho baadaye utakuja nishukuru nimekaa pale!.
Wakale wapi sasaHao wana uzoefu mzuuri kwenye rushwa.
Mtaweza kujiongoza wenyewe barabarani nyie [emoji1]Ifikie wakati Jeshi la polisi liwaondoe hawa watu wake barabarani. Binafsi huwa sipendi kabisa kuwaona barabarani. Maana wengi wao wanachowaza kwenye vichwa vyao, ni rushwa tu.
Wakiondolewa hawa wala rushwa, nakuhakikishia ajali zitapungua sana.Mtaweza kujiongoza wenyewe barabarani nyie [emoji1]
Ova
Siwezi kujihusisha na kazi ya laana kama hiyo.Utakuwa p*lis* wewe siyo bure!!
[emoji3][emoji3] sio kitambulisho....KIAMBATANISHOKitambulisho cha nini mkuu
Hiyo nusu saa upo hapo? Hili siwezi kufanya. Yaani niingie kwenye ratiba za kazi zao? Na kazi zangu? Nitawalipa hiyo elf 5/10 niondoke kama hawataki waandike ila zoezi liwe la muda mfupi.1 . Mataa yalizimika katikati yaani nilipita na taa za njano nikasimamishwa, wa nyuma yangu akaachwa, walijizungusha kama nusu saa hivi wanabishana
Wapo kazini, hata wakiandika faini jioni hawana walichopoteza. Rushwa ni marupurupu.2. Damage ya taa ile cover ilikuwa imepasuka kidogo sana unaweza hata kucheka yaani ni mpaka usogelee ndo utaona, taa inafanya kazi poa tu, akanisimamisha eti gari yako iko sawa ila shida ni hiyo taa, na waliiona baada ya kusimama maana ilikuwa ya nyuma, nikasema shida iko wapi mbona inawaka na ni cover tu imepasuka hapo pembeni , akajizungusha eti nakuandikia fine nikasema sawa afande, akaondoka, anakuja tena mara ya pili nakuandikia fine au unasemaje, nikasema sawa afisa maamuzi ni yako, akaondoka, kaja mara ya tatu kanipa leseni eti ukaitengeneze nikasema niko kwenye process hata hivyo.
Suala la rushwa halipo kwa trafiki tu. Siwatetei ila pia huwezi lipa faini kila ukifanya kosa. Hiyo taa yako tu kila mwezi utalipa Tsh ngapi? Una pesa sana? Kuwa friendly, ukiwa nayo wape ya kiwi kama huna waambie sina, kama hamuelewani mwambie andika boss tukafanye kazi. Ndivyo tunavyoishi TZ.Kwq kifupi wanacheza sana na woga wetu, ni mara mia nilipe fine, bora ikasaidie kujenga taifa kuliko nilazimike kumlipa mtu ambaye ananifanya miye kitega uchumi chake kwa lazima. Maskini jeuri miye.