Mshamba huyonilishakutana na mwanaume jamani kule sio kuchunga ila ni kutafta msiba yaani alihack kila account,mara afungue account fb kwa jina langu,mara ajifanye mimi aone mwanaume anareact vipi sikuelewa ulikuwa ni wivu ama?kimbembe ajue mtu ananitongoza atafanya juu chini huyo mtu ajue mi ni mke wake,cha ajabu huyo kijana alikuwa na miaka 30,binafsi nilishindwa hayo mahusiano
Kwani mkikaa kwenu ili muishi mnavyotaka kuna ubaya gani. Unandoka kwenu unamfuata mwanaume halafu htaki akuweke utaratibu.
Uhuru binafsi upi? Sio mwanammke tu hata kwa mwanaume ,ukishaingia kwenye ndoa basi kuna terms and conditions lazima muhafikiane na mnafikiana through kuambiana,lazima uende na beat ya mwenzako! Kama ulikuwa unapenda kwenda clubs basi tafuta mpenda clubs mwenzako hapo hamtakwazana!!utaratibu unaoingilia uhuru binafsi wa mtu
Kama mwanaume lazima nifanye risk assessment.. Yaani uniambie unaenda kwenye party la masela halafu kuna pombe utegemee ntakuruhusu? Maana mimi tayar najua yale sio mazingira rafiki.. ni rahisi kupelekewa moto... ukitaka uhuru tuachane
Nilikuwa na demu mmoja akikupigia utasikia uko wapi saivi? Unafanya nini? Maswali ya kisengé sana haya nilipiga nikasepa akawachunge wengine hukoyaaani wanakera kupiga simu sasa ndo kila saa
hapana jmn, kuna wanaume wanawazuia wanawake zao kufanya viti vya msingi kama kuwakataza kufanya kazi..Yaani anataka aishi kama yupo single ,kuflirt na masela ,kutoka kwenda clubs , kuwasiliana na maX wake , kutoka bila kuaga na kurudi muda atakao yeye ,kulala na jinsi etc
Inakera sana 😅
Akae kwao😄😄Yaani anataka aishi kama yupo single ,kuflirt na masela ,kutoka kwenda clubs , kuwasiliana na maX wake , kutoka bila kuaga na kurudi muda atakao yeye ,kulala na jinsi etc
Yaani acha tu.Wadanganyifu katika mahusiano;
Ni watu wanaopenda kutawala maisha ya wenzao, mfano anaweza kudukua simu yako, kukuchagulia marafiki, wengine wanazuiwa kufanya kazi, yaani kifupi anakuwa anajikuta kama ni baba yako na huku mmejuana ukubwani na hapo hata hajakuoa.
Wanapenda kutishia wenzao, mfano anaweza kukwambia ukienda kwenye hiyo shughuli usirudi hapa nyumbani, kulazimisha vitu/kutumia nguvu hata pasipohitaji matumizi ya nguvu.
Watu wa namna hiyo ni hatari sana, kwa kuwa anaweza kukufanya uwe na mashaka na uwezo wako binafsi (self-doubt) na kupelekea kutokujiamini.
Vipi mmeshawahi kukutana nao?
ndio sijakataa sababu ndoa ni compromise, lakini kuna wengine wanataka wao ndo wawe na sauti atachosema ndo kifanyike mwenzake hana maamuzi kabisa juu ya chochoteUhuru binafsi upi? Sio mwanammke tu hata kwa mwanaume ,ukishaingia kwenye ndoa basi kuna terms and conditions lazima muhafikiane na mnafikiana through kuambiana,lazima uende na beat ya mwenzako! Kama ulikuwa unapenda kwenda clubs basi tafuta mpenda clubs mwenzako hapo hamtakwazana!!
hapana jmn, kuna wanaume wanawazuia wanawake zao kufanya viti vya msingi kama kuwakataza kufanya kazi..
wewe unawaponda tu wanawake huna lolote
🤣🤣🤣 unataka alale na nini mkuu?,kulala na jinsi etc
ndio sijakataa sababu ndoa ni compromise, lakini kuna wengine wanataka wao ndo wawe na sauti atachosema ndo kifanyike mwenzake hana maamuzi kabisa juu ya chochote
Yaani wanaume wa namna hiyo wanakuwaga hawajiamini na wanaona ukiwa tegemezi ndo ataweza kukucontrol vizuri jmn wanawake wenzangu msije mkathubutu kuacha kazi kwa sababu mwanaume kasema uacheYaani acha tu.
Unamkuta mwanaume amekukuta unafanya kazi bank, mshahara wako mzuri tu. Anakuonesha mapenzi ya kweli unasema mwanaume si ndo huyu. Hajawahi kugusia kwamba nikikuoa utaacha kazi, hakupangii marafiki wala nini na amekukuta unaishi vizuri na ndugu zako na rafiki zako. Umezoea unajinunulia nguo zako na vitu kama hivyo.
Sasa subiri akuoe. Anaanza. Mi sipendi pale unapofanyia kazi, sasa unamuuliza kwanini kipindi tupo kwenye uchumba hukuwahi kusema kwamba hupendi ofisi yangu na hutamani nifanye kazi hapa ili nijue kama ntaweza kuishi
Na wewe au la. !! Kwanini usubiri unioe ndo uniachishe kazi. Unakuta mtu anakwambia mi staki hiki staki kile na kipindi cha uchumba hakuwahi kusema hivyo vyote.
Kakukuta una gari, una viwanja anataka na yeye majina yake
Yawepo kwenye hivyo viwanja. Hivi huwa shida ni nini? Af wanaume wa hivyi
Wanaenda kutangaza mwanamke msomi mjeuri. Sasa kwanini usingeenda kuoa wa darasa la saba? Mimi
Nna familia nasaidia vitu vidogo umenikuta nawahudumia na hata mia yako sijawahi kukuomba. Unanioa unaanza kunipangia na hata nikiacha kazi unaanza manyanyaso ukiomba hela yaani utaulizwa ya nini. Hadi uje na
Proposal kama unaomba funds UN. Aisee wanaume kwani wanawake huwa wanaomba sana muwaoe? Mbona mnawatreat kama they are desperate in getting married? Umemkuta mtu ana mfumo wake na unajijua we ni mtemi muache tafuta kingedere chako ukipelekeshe
Kijora/gagulo/pajama🤣🤣🤣 unataka alale na nini mkuu?
Mh uhuru binafsi aje jmn wakati umeshirikisha mwili tayari? Au unataka ubinafsi na sio uhuru binafsi, uhuru binafsi nahisi ni wasio na mshirika yeyote, wenye ushirika wa chochote ni kushirikiana kwa karibu ili ushirika udumu jamanii..[emoji16][emoji16][emoji16]utaratibu unaoingilia uhuru binafsi wa mtu
Kwa nini avae hizo shemeji yetu?Kijora/gagulo/pajama