Ukiona biashara unayofanya haina madoni ni ngumu sana kutoboa

Ukiona biashara unayofanya haina madoni ni ngumu sana kutoboa

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Kilimo kina madoni

Uchimbaji madini una madoni

Vitenge kuna madoni

Car wash zina madoni

Bar zina madoni,

samaki zina madoni

restaurant zina madoni

hii ni mifano kwamba pana uwezekano (sio guarantee) wa kutoboa hata ukiwa kwenye kundi la wengi waliopiga hatua ukiachana na madon wachache waliochana msamba.

Ukifanya biashara ambazo hazina madoni kusanya mtaji uhamie biashara zenye madoni ili walau hata ukipambana miaka nane hata ukifikia theluthi ya hao madon bado utaweza kujenga nyumba nzuri, kulipia watoto shule private, kusaidia wazazi wako( kama wapo), n.k. sio biashara hizi ukiwa mgonjwa hata mwezi unaanza kukopa.
 
Biashara za mazao ya chakula au matunda je? [emoji23]
 
Basi tusake mitaji tuingie ground
kwenye biashara ni uzoefu wakuwa kwenye game kwa muda mrefu na connectioons ndio hufanya hata walioanza na mitaji midogo kudika mbali.

kama ni mitaji pekee tunaona watumishi wengi wanakopa benki milioni 10 ila uzoefu na connections hawana, biashara zinafeli.

mtaji uwepo ila sio kitu pekee cha kukitegemea
 
usichukulie poa hio

kuna watu wana uza mamia ya gunia kila mwezi hizi shule za boarding

ukijipa muda kama miaka 10 upate uzoefu na connections inaweza kukutoa
Vijana wa sasa ukishawagusia tu suala kuvumilia japo miaka mi 5 ku grow biashara,aisee watakutukana na watakupiga mawe..Wao ni wanataka ishu za BOOM!! BAAAH!!! umelala masikin umeamka tajiri..ni generation Z kama asemavyo LIKUD
 
kwenye biashara ni uzoefu wakuwa kwenye game kwa muda mrefu na connectioons ndio hufanya hata walioanza na mitaji midogo kudika mbali.

kama ni mitaji pekee tunaona watumishi wengi wanakopa benki milioni 10 ila uzoefu na connections hawana, biashara zinafeli.

mtaji uwepo ila sio kitu pekee cha kukitegemea
Ukimsikia kijana anakuimbia wimbo wa mtaji we jua tuu hapo hamna kitu..Ni kichaka cha kujificha..Brother. ni hatar..Na hasa vijana wa Kiume
 
Vijana wa sasa ukishawagusia tu suala kuvumilia japo miaka mi 5 ku grow biashara,aisee watakutukana na watakupiga mawe..Wao ni wanataka ishu za BOOM!! BAAAH!!! umelala masikin umeamka tajiri..ni generation Z kama asemavyo LIKUD
wanaotoboa fasta ni wachache sana na ukifatilia unakuta familia yao ni wafanya biashara matajiri hivyo anapigwa jeki asiangukie pua, wengine wametumia mbinu za kikatili kuharakisha, wengine wana baraka zao maalum, hawa si watu wa kufata nyayo zao utaishia kukata tamaa.

kwa hali ya kawaida kwenye biashara inabidi ukae walau miaka mitano hivi ndio utaanza kujua mambo mengi, connections na kuutumia uzoefu wako kujitajirisha.
 
kuna mtu 1 katika kundi la watu 100 ana bahati ama distinct advantages ya kutoboa ndani ya ,muda mfupi ila hawa watu si wa kuwafatisha hata kidogo.

kwa hali ya kawaida kwenye biashara inabidi ukae walau miaka mitano hivi ndio utaanza kujua mambo mengi, connections na kuutumia uzoefu wako kujitajirisha.
I agree n i understand.. am in software development buznes na imenichukua miaka 2 kuanza ku generate income toka -ve income ( operation costs) to 1.8M per month..Sijazungumzia faida kumbuka..Hiyo atleast ina solve issue kama kodi ya ofis nauli na viposho vya hapa pale....biashara halali ukiwa na roho ndogo bas lazima uje na maneno kama ya mleta mada...Huwez kaa utakimbia tuu
 
I agree n i understand.. am in software development buznes na imenichukua miaka 2 kuanza ku generate income toka -ve income ( operation costs) to 1.8M per month..Sijazungumzia faida kumbuka..Hiyo atleast ina solve issue kama kodi ya ofis nauli na viposho vya hapa pale....biashara halali ukiwa na roho ndogo bas lazima uje na maneno kama ya mleta mada...Huwez kaa utakimbia tuu
just imagine hapo umeanza kutengeneza income baada ya miaka miwili, sio rahisi na inahitaji uvumilivu, consistency, kutumia vidogo unavyopata kukua, n.k.

wengi wanakimbiaga huu msoto, mtu akiona miezi miwili tu upepo hausomi anaacha

Na ndio maana hata fundi mzoefu akitumia dakika 1 kurekebisha gari lenye tatizo lililoshindikana kwengine, akiomba laki wewe mpe tu, unalipia uzoefu wake aliotumia miaka mingi kuupata na kutokata tamaa.
 
just imagine hapo umeanza kutengeneza income baada ya miaka miwili, sio rahisi na inahitaji uvumilivu, consistency, kutumia vidogo unavyopata kukua, n.k.

wengi wanakimbiaga huu msoto.

Na ndio maana hata fundi mzoefu akitumia dakika 1 kurekebisha gari lenye tatizo lililoshindikana kwengine, akiomba laki wewe mpe tu, unalipia uzoefu wake aliotumia miaka mingi kuupata na kutokata tamaa.
You are very right.Hii game ya biashara si ya ki ya kitoto.Show za ng'ombe, mbuzi hasogei 1😂😂...kuna muda unataman kuliaaaa kuna muda unatamani hata kuroga 🤣.
Msiwalaumu washirikina kwenye biashara
 
Kilimo kina madoni

Uchimbaji madini una madoni

Vitenge kuna madoni

Car wash zina madoni

Bar zina madoni,

samaki zina madoni

restaurant zina madoni

hii ni mifano kwamba pana uwezekano (sio guarantee) wa kutoboa hata ukiwa kwenye kundi la wengi waliopiga hatua ukiachana na madon wachache waliochana msamba.

Ukifanya biashara ambazo hazina madoni kusanya mtaji uhamie biashara zenye madoni ili walau hata ukipambana miaka nane hata ukifikia theluthi ya hao madon bado utaweza kujenga nyumba nzuri, kulipia watoto shule private, kusaidia wazazi wako( kama wapo), n.k. sio biashara hizi ukiwa mgonjwa hata mwezi unaanza kukopa.
Sio kweli, ni mtazamo wako tu mkuu
 
Msoto haujawai kuzoeleka ila kupitia msoto kuna uzoefu na connection unapata pamoja na kujua namna ya kutumia akili kuukwepa, ndio siri kubwa ya kupanuka kibiashara
Msoto hauzoeleki watu wanafunga biashara
 
Kilimo kina madoni

Uchimbaji madini una madoni

Vitenge kuna madoni

Car wash zina madoni

Bar zina madoni,

samaki zina madoni

restaurant zina madoni

hii ni mifano kwamba pana uwezekano (sio guarantee) wa kutoboa hata ukiwa kwenye kundi la wengi waliopiga hatua ukiachana na madon wachache waliochana msamba.

Ukifanya biashara ambazo hazina madoni kusanya mtaji uhamie biashara zenye madoni ili walau hata ukipambana miaka nane hata ukifikia theluthi ya hao madon bado utaweza kujenga nyumba nzuri, kulipia watoto shule private, kusaidia wazazi wako( kama wapo), n.k. sio biashara hizi ukiwa mgonjwa hata mwezi unaanza kukopa.
Kwanza madoni ndo nini tuanzie hapo
 
Wacha nifurahi baada ya kutoona bznes yangu/haina doni kutoka kwa msomi wa University wa Tanzania.
Uenda ipo siku atatoa n mm nikawa ndio doni wa hii bznes.
 
Back
Top Bottom