Number ni 26
JF-Expert Member
- Apr 3, 2019
- 1,573
- 3,088
Shilling 600 ya nauli tu, inakufanya ujikaushe duh Dar kuna njaa
Hajasema kama yupo Dar na hayo mazingira hajasema ni Dar[emoji23][emoji23][emoji23]Shilling 600 ya nauli tu, inakufanya ujikaushe duh Dar kuna njaa
Huyu ni lazima atakua dar ndo kuna daladala zinavo jazana na wasichana wasio kua na aibu.Hajasema kama yupo Dar na hayo mazingira hajasema ni Dar[emoji23][emoji23][emoji23]
Yamekukuta nini bwashee???Ukiona dada anakuchekea kwenye gari ya abiria. usirudishe tabasamu mpaka alipe nauli. utakuja kunikumbuka baadae
Acha tu kaka mpaka nakuja kushtuka nishalipia wengi nauliYamekukuta nini bwashee???
mkuu unaongelea nau;li ya daladala 600 au ya ndegeUkiona dada anakuchekea kwenye gari ya abiria. usirudishe tabasamu mpaka alipe nauli. utakuja kunikumbuka baadae
Ukiona dada anakuchekea kwenye gari ya abiria. usirudishe tabasamu mpaka alipe nauli. utakuja kunikumbuka
usipende vya kulipiwaUkiona dada anakuchekea kwenye gari ya abiria. usirudishe tabasamu mpaka alipe nauli. utakuja kunikumbuka baadae
Na yy kwa nn akuchekee kwa kutaka kulipiw tshs600/=Shilling 600 ya nauli tu, inakufanya ujikaushe duh Dar kuna njaa
Kwasbb ni demu na wewe ni dume, usituangushe mkuuNa yy kwa nn akuchekee kwa kutaka kulipiw tshs600/=