Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Hadi zifike bongo si mwaka umeshakatika na mbususu imeota kutuMagnum unaagiza bongo hamna
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi zifike bongo si mwaka umeshakatika na mbususu imeota kutuMagnum unaagiza bongo hamna
Lgbtq member huyo. Hata yeye anajua... Anyway ungejimwaga😁Sasa itakuwaje na nimeshazama kwa cocastic
Unapiga na ruff ryder😅Hadi zifike bongo si mwaka umeshakatika na mbususu imeota kutu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Jinsia yake ni ke au me ?Lgbtq member huyo. Hata yeye anajua... Anyway ungejimwaga[emoji16]
Ninayo hiyo kwenye stockUnapiga na ruff ryder[emoji28]
Kama umepitia haya tayari unastahili cheti😅!!!Kwa kuongezea tuu kuna dalili 4 muhimu
1. Mpenzi wako anakuwa na hasira za mara kwa mara na wewe kitu kidogo tuu ukikosea unashangaa ugomvi
2. Mpenzi wako anageuka mkosoaji wa kila jambo unalolifanya yaani chochote utakachokifanya kwake anakukosoa
3. Mpenzi wako anataka uwe unaanza kuzungumza point mnapoongea au anataka kujua leo una jipya gani kama hauna jipya basi anakuaga
4. Mpenzi wako anaacha kukuita yale majina kimahaba kama my love, sweat,mpenzi anaanza kukuita majina yako kama vile fred, ashura
5. Mara nyingi wewe ndio unakuwa kinara wa kuomba msamaha hata umegundua wewe huna makosa yeye ndo ana makosa ila wewe unaomba msamaha ili mradi yaishe tuu
Hahahah mimi mwanamke nikishagundua mwanamke ame loose interest na mimi ninachofanyaga .......Kama umepitia haya tayari unastahili cheti[emoji28]!!!
Mwanamke aki lose interest ndio huwaga hayo hujitokeza hasa akiwa na new partner anakuona unamchosha tu!
PoleHatari nanusu!!
Hahahahahahahah unajifanyanya huelewi kitu yani🤩Hahahah mimi mwanamke nikishagundua mwanamke ame loose interest na mimi ninachofanyaga .......
1.naanza kutafuta new partner kimya kimya waku ni keep bizee
2.nikishafanikiwa katika hilo napambana kujenga mahusiano mapya huku ya zamani taratibu naanza kuyapotezea
3.nikishafanikiwa ktk hilo moyo wangu nauhamishia kwenye penzi jipya mpka uanze kukolea
4.nikishafanikiwa ktk hilo penzi la zamani naanza kulipotezea mdogo mdogo hivyo by the time penzi la zamani linakaribia kuvunjika halivunjiki linaishia juu kwa juu siku ukikutana na ex wako unajifanya hujui nini kimetokea
Yeah najifanya sijui kinachoendeleaHahahahahahahah unajifanyanya huelewi kitu yani[emoji2956]
Wana vituko! Ben Zen Tarot kasema anataja dalili 5 lakini kataja 4 mwenzake Bata batani kasema anatuletea dalili muhimu 4 lakini kataja 5!Wapi namba 5?
Wana vituko! Ben Zen Tarot kasema anataja dalili 5 lakini kataja 4 mwenzake Bata batani kasema anatuletea dalili muhimu 4 lakini kataja 5!
HahahahahaBado nashangaa tu 😄
Tatizo mimi sijui kupenda.[emoji13]Kutu kwahiyo steel wire wanazo hao machangu pekee, tafuta mpenzi wako mwaminifu utatoa kutu bila woga na sehemu yoyote tu mkuu[emoji12]
Sio durex dea, n vommz, ile durex haina ladha afu ina ubaridi sana, akuuuh stak mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji7][emoji7]
Wee naanzaje sasa lol.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan ulivyo sema as if wee ndo unajua sana, khaaah.Lgbtq member huyo. Hata yeye anajua... Anyway ungejimwaga[emoji16]
Hiyo vommz una picha yake love ?Sio durex dea, n vommz, ile durex haina ladha afu ina ubaridi sana, akuuuh stak mie. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]