Ukiona dalili hizi kwa mwanamke wako achana nae atakusumbua mbeleni

Umenena vyema anko
 
Kwa kifupi umeongelea sifa ya pisi kali wa miaka hii. Zamani mwanamke mzuri kulikuwa na possibility kubwa ya kukutana ana tabia nzuri pia. Ila siku hizi mwanamke mzuri ni ngumu sana awe na tabia nzuri.
 
Sawa, ongezea tako pia kwenye hizo sifa zako. Nyie ndo huwa mnaishia kuua/kujiua au kukimbia nyumba! Mwanaume ukishindwa kutumia akili kwenye maamuzi umechagua kuanguka.
Kuna mwanamke nimeachana nae kama siku 3 zilizopita, nimekuwanae zaidi ya mwezi 1.
KIlichonifanya niachane nae ni tabia yake ya kujiona yeye ni wa thamani sana kuliko watu wengine, nilikuja shtuka eti hata staili ya ku do, ananipangia! "Sitaki hivo, "fanya hivi, mara nikimuhitaji "nikija kwako ninunulie hiki au kile" kipindi cha mwanzo nilikuwa nafanya anachotaka nikijua tukizoeana atabadilika! Mi mkimya sana, niliamua kuachana nae kimya kimya mpaka sasa akinipigia cm sipokei.

Anatako balaa.
 
huo muda manapata wapi vijana

haya ni mambo niya kijana wa kidato cha tatu ndio anapaswa kufikiria
 

This is exactly what im saying brother……ubinafsi, kunyenyekewa….Never beg for love brother yani soko hili ni kubwa mnoo kwa men yani wanawake ni wengi mnooo ila kwao soko lao ndio gumu sana maana waowaji na wenye vigezo shababi vya kuoa + kuwa ideal provider ni wachache mnooo. Istoshe nature yao ni kufatwa sio kufata.

Unakuta dem ana 32 single alaf bado tabia mbovu mi najiulizaga sana sijui yanawazaga nn ?? Hayajishtukii kabisa. On the side unakuta mtoto ana 22 - 26 kakomaa mtoto kakaa vizuri balaa alaf unakuta mtu ana 33 tabia za kipuuzi + ujinga ujinga tu.

Mi nakulaga nasepa, nawaacha na upumba.vu wao.
 
Njia pekee ya kujua mke bora mtie kofi uone reaction yake

Hata kumjibu shit tu mkuu inatosha [emoji1787][emoji1787]

Yani aisee wengi kuwatingisha kdgo tu mwanamke anaropoka mambo kibao unamchota akili tu unaona kabisa wahed hili unapiga chini. Hyo kitu ninayo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…