Ukiona hivi ujue umeishiwa maongezi

Ukiona hivi ujue umeishiwa maongezi

Nomadix

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
2,411
Reaction score
6,646
Habari zenu wakuu
Wengi wetu kama sio wote tunawasiliana kwa njia ya simu mara kwa mara, lakini wakati mwingine unakuta kuna ile huna story ya kupiga na aliekupigia/uliempigia, kwangu mimi vitu kama hivi huwa vinanifurahisha haha yaan mtu kapiga ila mnachokiongea sasa!
...
Mnaishia kuongea mambo ambayo kimantiki hata hayana maana
...

Ukiona haya ujue mmeishiwa story
...
Kuulizia hali ya hewa, kama we ni mkulima sawa lakini hamna haja ya kuuliza hali ya hewa, utaskia "Huko mvua imenyesha", "Hapo jua limewaka"
...
Kurudia rudia salamu, ukishasalimia unakuta mtu anarudia salamu ambayo kimsingi ni ileile,
AG: salama huko
BC: salama kabisa
AG: Kwema hapo
BC: kwema kabisa
AG: hamjambo
BC: hatujambo
AG: nyie wazima
BC: sote wazima
...
Kujibu viitikio tu au neno moja moja mda wote unakuta unaongea na mtu ila yeye anajibu neno moja tu anhaa, enhee, mmm, sawa, kumbe, oooh, okay, aya
Vipi kwako wewe mambo huwa yanakuaje
 
Kwa case ya Mume na mke; you must keep the conversation going on; Hasa mkiwa mbali!

It is not the subject that matters, but maongezi; na huwa hayapangwagi kabisa, yanajiendesha!

Ukiacha mke na biashara, then sina maongezi na mtu mwingine yeyote, na Kama yapo ni straight to the point!
 
Habari zenu wakuu
Wengi wetu kama sio wote tunawasiliana kwa njia ya simu mara kwa mara, lakini wakati mwingine unakuta kuna ile huna story ya kupiga na aliekupigia/uliempigia, kwangu mimi vitu kama hivi huwa vinanifurahisha haha yaan mtu kapiga ila mnachokiongea sasa!
...
Mnaishia kuongea mambo ambayo kimantiki hata hayana maana
...

Ukiona haya ujue mmeishiwa story
...
Kuulizia hali ya hewa, kama we ni mkulima sawa lakini hamna haja ya kuuliza hali ya hewa, utaskia "Huko mvua imenyesha", "Hapo jua limewaka"
...
Kurudia rudia salamu, ukishasalimia unakuta mtu anarudia salamu ambayo kimsingi ni ileile,
AG: salama huko
BC: salama kabisa
AG: Kwema hapo
BC: kwema kabisa
AG: hamjambo
BC: hatujambo
AG: nyie wazima
BC: sote wazima
...
Kujibu viitikio tu au neno moja moja mda wote unakuta unaongea na mtu ila yeye anajibu neno moja tu anhaa, enhee, mmm, sawa, kumbe, oooh, okay, aya
Vipi kwako wewe mambo huwa yanakuaje
Kaka ungebainisha mazungumzo hayo ni baina ya wanaume kwa wanaume au vipi? maana ikitokea unaongea na mchepuka kuna muda mtaulizana hadi historia za kina Kinjeketile
 
Hata maongezi nimeishiwa




Screenshot_20241219-205201_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom