Ukiona hivi ujue umeishiwa maongezi

Ukiona hivi ujue umeishiwa maongezi

Haha wakuu niseme tu JF ni hatari kuna pisi moja nilifukuzia akakataa nikakomaa nikaipata, naiomba game inaleta mambo ya tusubiri mpaka ndoa nikakubali ila niliposoma watu humu wamekula tunda tena wamekula wengine kimasihara nikasema usintanie wewe hahaha
...
nimetumia masaa mawili kumuimbisha mpaka akajaa akakubali dah ila JF wana MMU na Chitchat nyie noma
Sorry naomba kuuliza kwa faida ya wengine pia ALIKUA BIKIRA?
 
Haha wakuu niseme tu JF ni hatari kuna pisi moja nilifukuzia akakataa nikakomaa nikaipata, naiomba game inaleta mambo ya tusubiri mpaka ndoa nikakubali ila niliposoma watu humu wamekula tunda tena wamekula wengine kimasihara nikasema usintanie wewe hahaha
...
nimetumia masaa mawili kumuimbisha mpaka akajaa akakubali dah ila JF wana MMU na Chitchat nyie noma
Hivi mnachojoana nguo kweli? 😹😹
 
Back
Top Bottom