Huyo lazima ni ex wako kuna kitu anataka 😹juzi tu apa,namba ngeni imenitafuta,kunisalimia mambo vip,nikamjibu safi,tena anaulza mzima,nikamjibu mtu akisema safi means mzima....... unajua alijibu nin😆
Sorry naomba kuuliza kwa faida ya wengine pia ALIKUA BIKIRA?Haha wakuu niseme tu JF ni hatari kuna pisi moja nilifukuzia akakataa nikakomaa nikaipata, naiomba game inaleta mambo ya tusubiri mpaka ndoa nikakubali ila niliposoma watu humu wamekula tunda tena wamekula wengine kimasihara nikasema usintanie wewe hahaha
...
nimetumia masaa mawili kumuimbisha mpaka akajaa akakubali dah ila JF wana MMU na Chitchat nyie noma
umenpa wazo🤣ila sikujib nilifuta mesej ilibid nidadisiHuyo lazima ni ex wako kuna kitu anataka 😹
Hivi mnachojoana nguo kweli? 😹😹Haha wakuu niseme tu JF ni hatari kuna pisi moja nilifukuzia akakataa nikakomaa nikaipata, naiomba game inaleta mambo ya tusubiri mpaka ndoa nikakubali ila niliposoma watu humu wamekula tunda tena wamekula wengine kimasihara nikasema usintanie wewe hahaha
...
nimetumia masaa mawili kumuimbisha mpaka akajaa akakubali dah ila JF wana MMU na Chitchat nyie noma
Fala sana😃😃😃Mnatunyima nini huko?
Oooh kumbe ndoman alisema hadi ndoa,,basi muoe kisha utuletee mrejesho baada ya kuoa bkOf course, kakubali ila after kukubali napata dilemna nile nisile
Kama ni pisi alafu unambie NAMBIE ujue umekwishaEenhe nambie daah si bora tu mkatishe maongezi kuliko kugeuzana wambea
Kama kawaKulwa habari yako?
AKINA NANI?hahaha! Reply kama mbongo mwenye makasiriko
JuaMnatunyima nini huko?
Mungu kasaidia... nimekukumbuka sana kulwa.Kama kawa
Heri ya mwaka mpya
Kabisa mkuu.hahaha! unakuta hapo ana dakika hata 100 anaona zinakaribia kukata anapiga zisiende bure
🤭Mnatunyima nini huko?