Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Superb technique mkuu! hii nzuriMimi binafsi kama sijawasiliana na mtu muda mrefu afu sina ajenda zaidi ya salamu huwa natuma sms short and clear.
Ex:
Habari Juma za mwaka mpya aisee ni kitambo sojakutafuta. Nimekukumbuka sana jamaa yangu. Full stop!
Hii inaepusha sintofahamu kwa Juma maana anaweza jiuliza huyu jamaa kanitafuta leo au kuna kisanga au shida. Na maosha yenyewe haya
Mimi ndie Dotoana doto wake? [emoji849]
Vinyeo vya kitimotoMnatunyima nini huko?
Mimi hapo kwenye shemu ningemjibu "hawapy shemu hajajamba" π₯Ά1.Mzee Magufuli anaendeleaje hapo?
2.Familia yako inaendeleaje?
3."Nambie" unakuta yeye ndo kapiga simu afu anakuambia tena niambie?
4.shemu hajambo?
Ukinijibu hivo tutagombana hadi basi eti kichwani hamna kitu πππyeye(mwanamke): nambie
mimi: nikwambie nini
yeye: chochote tu
mimi: nipe nafasi kwenye moyo wako
yeye: hapana moyo wangu nishampa mwingine
mimi: basi niweke kichwani najua hamna kitu
hahaha! Nyie si ndio mlianza ukorofi, tunawatongoza kistaarabu mnajibu mnavyojiskiaUkinijibu hivo tutagombana hadi basi eti kichwani hamna kitu