Freeman Mbowe ni mwanasiasa mtulivu, mwenye werevu na uvumilivu mkubwa sana. Hadi imefika Mbowe anaamua kuwa Samia Must Go, basi ujue kwa kweli mambo hayaendi vizuri katika nchi hii na kuna tatizo kubwa mno.
Pamoja na kwamba uvumilivu ni jambo jema sana kila wakati, kuna mahali inafika hata vitabu vitakatifu vinatuambia kuwa ...yatosha sasa.., kuna wakati wa kucheka na wakati wa kukasirika..
Tuwaunge mkono wote wanaokasirishwa na mambo ya hovyo yanayoendelea katika nchi yetu ikiwa ni pamoja na ukatili dhidi ya watoto, kutekwa na kuuwawa kwa wanasiasa na wanachi wengine, na usimamizi mbaya wa rasilimali za Taifa letu.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'
Pamoja na kwamba uvumilivu ni jambo jema sana kila wakati, kuna mahali inafika hata vitabu vitakatifu vinatuambia kuwa ...yatosha sasa.., kuna wakati wa kucheka na wakati wa kukasirika..
Tuwaunge mkono wote wanaokasirishwa na mambo ya hovyo yanayoendelea katika nchi yetu ikiwa ni pamoja na ukatili dhidi ya watoto, kutekwa na kuuwawa kwa wanasiasa na wanachi wengine, na usimamizi mbaya wa rasilimali za Taifa letu.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'