Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hana influence hata chamaniFreeman Mbowe ni mwanasiasa mtulivu, mwenye werevu na uvumilivu mkubwa sana. Hadi imefika Mbowe anaamua kuwa Samia Must Go, basi ujue kwa kweli mambo hayaendi vizuri katika nchi hii na kuna tatizo kubwa mno.
Pamoja na kwamba uvumilivu ni jambo jema sana kila wakati, kuna mahali inafika hata vitabu vitakatifu vinatuambia kuwa ...yatosha sasa.., kuna wakati wa kucheka na wakati wa kukasirika..
Tuwaunge mkono wote wanaokasirishwa na mambo ya hovyo yanayoendelea katika nchi yetu ikiwa ni pamoja na ukatili dhidi ya watoto, kutekwa na kuuwawa kwa wanasiasa na wanachi wengine, na usimamizi mbaya wa rasilimali za Taifa letu.
PIA SOMA
- Kuelekea 2025 - Mbowe: Mtu wa kwanza kuwajibishwa kwenye matukio ya utekaji ni Rais Samia. CHADEMA kuanza kampeni ya 'Samia Must Go'
Nimeyaona haya miaka ya nyuma na naujua mwisho wake utakuwa vipi.Steve wewe haya yanayoendelea ni kama unapaswa mafuta tuu. Ila kuna watu mna roho ngumu
Sera ni zile zile za wanaharakati za kuja na matamko yenye siku fulani ya kufanya kitu fulani. Siku inapita anakuja na kauli mbiu nyingine yenye siku maalum ya kufanya kitu fulani na mara nyingi yanakuwa ni maandamano.Kweli amechoka miaka 21 chama hakina mafanikio!
Naam, Lakini atakuwa KIZIMKAZI KWAO Sio Ikulu 🤣🤣Ni mtu mwenye busara ila haibasilishi ukweli kwamba samia tunae hadi 2030
Amekata tamaa na uraisi kwa njia ya kura.Anataraji afikie malengo kwa njia za fujo.Amechoka yeye binafsi au?🐼
Huyu ni Banyamulenge kabisa