Pre GE2025 Ukiona imefika mahali Freeman Mbowe akaja na kampeni ya Samia Must Go, basi ujue amechoka sana na mambo ni mabaya mno

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hana influence hata chamani
 
Steve wewe haya yanayoendelea ni kama unapaswa mafuta tuu. Ila kuna watu mna roho ngumu
Nimeyaona haya miaka ya nyuma na naujua mwisho wake utakuwa vipi.

Kuna kazi kubwa ya kutafuta wawekezaji iliyofanywa na Samia, na hivi sasa nchi nzima michakato ya kujenga viwanda vikubwa inaendelea haswa mkoa wa Pwani.

Hizi zote ni fursa pana ambazo Samia kazitafuta mwenyewe kwa kwenda huko nje, zile faida za safari za Samia zinaanza kuzaa matunda na yatakuwa makubwa.

Mbowe alitakiwa aione hii vision na ukubwa wake na aje na mikakati ya kusaidia vijana wa chama chake na sio kuwatumia wakiwa ni mtaji wa kufanya siasa zenye nia ya kuichafua serikali.

CHADEMA na wadau wasioridhishwa na serikali ya sasa wanapaswa kutafuta uongozi mpya utakazisimamia sera na mwelekeo mzima wa upinzani
 
Kweli amechoka miaka 21 chama hakina mafanikio!
Sera ni zile zile za wanaharakati za kuja na matamko yenye siku fulani ya kufanya kitu fulani. Siku inapita anakuja na kauli mbiu nyingine yenye siku maalum ya kufanya kitu fulani na mara nyingi yanakuwa ni maandamano.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…