klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,647
- 5,145
tena fanya haraka.
Kimeumana! Tushaona,manake antennae wimaaaa!
Kloro acha maskhara! Nambie wanywea kilabu gani niwe nakuja hapo,nikiangusha wallet unaiba hela tu afu unanirudishia!
hahahahahaha, nimeamua kuokoka.
Ungekua umeokoka saa hizi ungekua unamhubiria my son! Nna wasiwasi na ww!
hehe king'asti bana, kuna klabu moja inaitwa "kifo ni hobby" iko maeneo ya kwa mfuga mbwa, hapo mimi ni selebriti, unakaribishwa sana
Dah! wakuu inabidi nitimue sasa, waifu wa jirani kaja kuomba chumvi
son wako kanipa kibuti bana. usiponiona jf ujue nauguza maumivu ya kibuti.
duh yaani mada yenyewe imeshaachwa kujadiliwa saaaa nyiiiiingi watu wameingia katika biashara nyingine tayari
Nyingine hii hapa
Asateni kwa hoja zenu nzuri
naomba tuwapongeze wajumbe waliochangia. Next time watakao changia tutawapa pipi;
Na mimi nataka pipi.....lol
Pipi kwa umri wangu sielewi hata nitaifanyiaje!
Maana ile ni mtambo wa kisukari live!
AD, we umri unakuruhusu kulamba pipi?
Pipi kwa umri wangu sielewi hata nitaifanyiaje!
Maana ile ni mtambo wa kisukari live!
AD, we umri unakuruhusu kulamba pipi?
Mkwe, sidhani kama pipi itakufaa sana. Usijali nitakuleta doti ya kitenge.