Ukiona Kiongozi Mkuu wa Taifa lolote lile ni Shabiki Nusu Liverpool na Shabiki Nusu Manchester United jua yafuatayo...

Ukiona Kiongozi Mkuu wa Taifa lolote lile ni Shabiki Nusu Liverpool na Shabiki Nusu Manchester United jua yafuatayo...

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
1. Ni Mpumbavu asiye na mfano

2. Ni Mnafiki mkubwa

3. Hajui anachokifanya (Juha)

4. Muongo na Hafai

5. Mchawi / Mshirikina

6. Anapelekeshwa kama Mwehu

7. Analazimisha umaarufu na kupendwa

Naamini kabisa kwa 99.999% Geniuses wangu akina mrangi, adriz, Extrovert, Bila bila, SAGAI GALGANO, King Kong III na wengine (baadhi) mtakuwa mmenielewa vyema na kuuelewa vyema huu Uzi.

Imeisha hiyo.......!!!!!!!
 
1. Ni Mpumbavu asiye na mfano

2. Ni Mnafiki mkubwa

3. Hajui anachokifanya (Juha)

4. Muongo na Hafai

5. Mchawi / Mshirikina

6. Anapelekeshwa kama Mwehu

7. Analazimisha umaarufu na kupendwa

Naamini kabisa kwa 99.999% Geniuses wangu akina mrangi, adriz, Extrovert, Bila bila, SAGAI GALGANO, King Kong III na wengine (baadhi) mtakuwa mmenielewa vyema na kuuelewa vyema huu Uzi.

Imeisha hiyo.......!!!!!!!
Uaneni kabisa na hayo matimu yenu ya Kisiasa
 
1. Ni Mpumbavu asiye na mfano

2. Ni Mnafiki mkubwa

3. Hajui anachokifanya (Juha)

4. Muongo na Hafai

5. Mchawi / Mshirikina

6. Anapelekeshwa kama Mwehu

7. Analazimisha umaarufu na kupendwa

Naamini kabisa kwa 99.999% Geniuses wangu akina mrangi, adriz, Extrovert, Bila bila, SAGAI GALGANO, King Kong III na wengine (baadhi) mtakuwa mmenielewa vyema na kuuelewa vyema huu Uzi.

Imeisha hiyo.......!!!!!!!
Nimekupata Comrade chawa hawajafungua code bado wanang'aang'aa macho kama mazombie
 
Uzi umedoda🤣🤣🤣🤣 Dakika 49 hakuna mchangiaji hata mmoja.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Wewe unakaa Siku 60 'Nyabe Nyabenga' lako limedoda Kukanyagwa na Masela kwa Kunuka Choo kilichotukuka huwa unajishangaa?
 
Back
Top Bottom