Nkolandoto
JF-Expert Member
- Sep 18, 2016
- 4,102
- 4,028
HeheheheKazi ipi uliyonipa?
Mimi tena we demi mbona unapenda kugeuka mapema hivi
Nahofu unavyogeuka ukiwekwa chini ghafla uko juu ukatike unavotaka
Aiseeee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HeheheheKazi ipi uliyonipa?
Nenda nami taratibu. Kama unanitania sema mapemaHehehehe
Mimi tena we demi mbona unapenda kugeuka mapema hivi
Nahofu unavyogeuka ukiwekwa chini ghafla uko juu ukatike unavotaka
Aiseeee
Amebanwa kojo anataka kuomba kwenda msalaniAmekwama - anataka msaada wa pesa aka maokoto
Amepotea - anataka mtu wa kumwelekeza sehem anayoenda
Malizia....
Bandugu tusalimie sio hadi mkwame ndo mnarudi kutusalimia - tutawapotezea!
Ila wewe mwanamke weweNenda nami taratibu. Kama unanitania sema mapema
Basi sawa.Ila wewe mwanamke wewe
Mbona wajua kupangua kete sana !!
Nakutania tena daah
😂 😂 😂 😂 😂ukipata msichana mwenye wanaume watatu shukuru sana mana atakuwa hata anakumbuka kulusalimia!
Ila starehe zinatofautiana chief katika kuusuza moyo. Mfano mimi mapenz kwangu na stick kwenye the basics tu, sio sehemubya starehe kabisaaaaaa so ku enjoy pesa hata nikiwa alone, manzi ha play part kabisa mimi kuufaid ukimwenguDunia hii kama huna mdada mzuri anayeusaga moyo wako, hiyo pesa unaila kama ugali bila mboga😂😂
HaahaaaAmebanwa kojo anataka kuomba kwenda msalani
Unakunywa vitu vikali?Ila starehe zinatofautiana chief katika kuusuza moyo. Mfano mimi mapenz kwangu na stick kwenye the basics tu, sio sehemubya starehe kabisaaaaaa so ku enjoy pesa hata nikiwa alone, manzi ha play part kabisa mimi kuufaid ukimwengu
Sanaaa Sanaa mkuu, na huwa tunajua ni vile tu wanawake kuna namna tukoHakika sisi ni watu japo hamnaga shukrani kivile[emoji23]
Mngejali utu wetu nyie mngekuwa mbali sana yaniSanaaa Sanaa mkuu, na huwa tunajua ni vile tu wanawake kuna namna tuko
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Tunajali tatizo sometimes na nyie mnatupigaga matukio ndomanaMngejali utu wetu nyie mngekuwa mbali sana yani
Mwanaume wengi wetu tukipata mwanamke anakuelewa, nitafute mwingine wa kazi gani?Tunajali tatizo sometimes na nyie mnatupigaga matukio ndomana
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Amekwama - anataka msaada wa pesa aka maokoto
Amepotea - anataka mtu wa kumwelekeza sehem anayoenda
Malizia....
Bandugu tusalimie sio hadi mkwame ndo mnarudi kutusalimia - tutawapotezea!
Barikiwa mtumishi,mimi nakubaliana na wewe zinaa inaathiri sana kiroho kabla ya kupita na single mom nilikua mtu wa maombi ila kwa sasa nimekua mzito sana hata kumuomba Mungu naona kama najichosha tu hapo bado kimwili sijajua mana tumepita peku,zinaa mbaya aisee.ni kitu cha ajabu, kwamba mwanamke akikamatika kwenye shida kabisa, hata kama ni mke wa mtu, huwa yupo tayari kutoa mwili wake alimradi tu apate, iwe pesa, cheo au kazi. kuna mdada mfanyakazi, na tulimchangia pesa za arusi miezi minne iliyopita (though walikuwa wanabariki), leo kaja kwangu akapiga story akaondoka. baada ya dakika kama 10 ananiandikia msg anasema anaomba pesa akasukie. of course alipokuwa ofisini kwangu, nilikuwa najisikia vibaya kwasababu alikuwa anapoteza muda tu hana la maana alilokujia, na nikajua shetani anataka kuweka mtego kwangu.
kwanza nimejiuliza, nifanyeje, nikajua huyu ana shida ya pesa na amekamatika kwelikweli, pesa ya kusukia tu ninayo, ningeweza kumpa, lakini ana mume, mumewe akimuuliza umetoa wapi pesa ya kusukia atasema katoa wapi? na je, mimi ningekubali mwanaume mwingine ampe mke wangu pesa akasukie? Inawezekana mume wake hana hiyo pesa wiki hii na nywele zake anaona zinahitaji kusukwa ila je? nisemne hiyo ni necessary service kwenye maisha kwamba akikosa kusuka wakati anajipanga kutafuta maisha ataathirika? na ni mdada mzuri tu hata akinyoa atapendeza tu? nikafikia muafaka kwamba, sitampa pesa na nitampiga marufuku kuniomba pesa au kuwa karibu na mimi.
maishani, kabla sijamjua Mungu, nilikuwa dhaifu sana kwa wanawake. nilijifunza na kuhakikisha kwamba ni kweli, dawa ya uzinzi ni kufukia mashimo yote yanayoweza kupitisha uwezekano wa kuzini, hata ikibidi kimbia kwa miguu au kubali kugombana na mtu akuone humtaki alimradi tu usizini, kwasababu ukikaribia shina la uzinzi, utazini kweli na hakuna uzinzi ambao haujawahi kumsababishia mtu madhara, iwe kiroho au kimwili. hata ukiona kimwili upo safi tu jua kiroho kuna kitu kikubwa umepoteza. Mungu atusaidie sote.
Si mnasema inachosha kula mlo huohuo kila sikuMwanaume wengi wetu tukipata mwanamke anakuelewa, nitafute mwingine wa kazi gani?
Sio kweli.Si mnasema inachosha kula mlo huohuo kila siku