Ukiona Mdada anakusalimia basi jiandae kwa haya yafuatayo

Ukiona Mdada anakusalimia basi jiandae kwa haya yafuatayo

Dunia hii kama huna mdada mzuri anayeusaga moyo wako, hiyo pesa unaila kama ugali bila mboga😂😂
Ila starehe zinatofautiana chief katika kuusuza moyo. Mfano mimi mapenz kwangu na stick kwenye the basics tu, sio sehemubya starehe kabisaaaaaa so ku enjoy pesa hata nikiwa alone, manzi ha play part kabisa mimi kuufaid ukimwengu
 
Ila starehe zinatofautiana chief katika kuusuza moyo. Mfano mimi mapenz kwangu na stick kwenye the basics tu, sio sehemubya starehe kabisaaaaaa so ku enjoy pesa hata nikiwa alone, manzi ha play part kabisa mimi kuufaid ukimwengu
Unakunywa vitu vikali?
 
Amekwama - anataka msaada wa pesa aka maokoto

Amepotea - anataka mtu wa kumwelekeza sehem anayoenda

Malizia....

Bandugu tusalimie sio hadi mkwame ndo mnarudi kutusalimia - tutawapotezea!
mmRmDX9Y3Q7NS (2).gif
 
ni kitu cha ajabu, kwamba mwanamke akikamatika kwenye shida kabisa, hata kama ni mke wa mtu, huwa yupo tayari kutoa mwili wake alimradi tu apate, iwe pesa, cheo au kazi. kuna mdada mfanyakazi, na tulimchangia pesa za arusi miezi minne iliyopita (though walikuwa wanabariki), leo kaja kwangu akapiga story akaondoka. baada ya dakika kama 10 ananiandikia msg anasema anaomba pesa akasukie. of course alipokuwa ofisini kwangu, nilikuwa najisikia vibaya kwasababu alikuwa anapoteza muda tu hana la maana alilokujia, na nikajua shetani anataka kuweka mtego kwangu.

kwanza nimejiuliza, nifanyeje, nikajua huyu ana shida ya pesa na amekamatika kwelikweli, pesa ya kusukia tu ninayo, ningeweza kumpa, lakini ana mume, mumewe akimuuliza umetoa wapi pesa ya kusukia atasema katoa wapi? na je, mimi ningekubali mwanaume mwingine ampe mke wangu pesa akasukie? Inawezekana mume wake hana hiyo pesa wiki hii na nywele zake anaona zinahitaji kusukwa ila je? nisemne hiyo ni necessary service kwenye maisha kwamba akikosa kusuka wakati anajipanga kutafuta maisha ataathirika? na ni mdada mzuri tu hata akinyoa atapendeza tu? nikafikia muafaka kwamba, sitampa pesa na nitampiga marufuku kuniomba pesa au kuwa karibu na mimi.

maishani, kabla sijamjua Mungu, nilikuwa dhaifu sana kwa wanawake. nilijifunza na kuhakikisha kwamba ni kweli, dawa ya uzinzi ni kufukia mashimo yote yanayoweza kupitisha uwezekano wa kuzini, hata ikibidi kimbia kwa miguu au kubali kugombana na mtu akuone humtaki alimradi tu usizini, kwasababu ukikaribia shina la uzinzi, utazini kweli na hakuna uzinzi ambao haujawahi kumsababishia mtu madhara, iwe kiroho au kimwili. hata ukiona kimwili upo safi tu jua kiroho kuna kitu kikubwa umepoteza. Mungu atusaidie sote.
Barikiwa mtumishi,mimi nakubaliana na wewe zinaa inaathiri sana kiroho kabla ya kupita na single mom nilikua mtu wa maombi ila kwa sasa nimekua mzito sana hata kumuomba Mungu naona kama najichosha tu hapo bado kimwili sijajua mana tumepita peku,zinaa mbaya aisee.
 
Ukisalimia utaambiwa unamtaka bure mkaka wa watu🤔🏃‍♀️
Basi kuna sehemu kuna watu wengi , nilikua nikipita namute no salamu, nikawa nawasikia wananisema haka kadada hakasalimii siku ataanguka hapa hatutamuokota, heee hiyo siku nimetoka sokoni na mafurushi yangu napita hapo, yaani nilianguka mafurushi kulee, aibuuu ila walinisaidia kuninyanyua😀😀😀 now nikipita nasalimiaa
 
Si mnasema inachosha kula mlo huohuo kila siku
Sio kweli.
Mimi binafsi nikiwa penzini na mpenzi hana kona, amenyooka siwezi kuwa na mchepuko.
Siwezagi kuugawa moyo.

Kuwa na wake wengi sio ufahari ujue
 
Back
Top Bottom