Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
Duh, basi kazi unayoInainak
INakera unafuatwa hadi pm au ilinabadili id likushambulie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh, basi kazi unayoInainak
INakera unafuatwa hadi pm au ilinabadili id likushambulie
Kuna mijitu ilixaliwa njiti humu🤣🤣Duh, basi kazi unayo
Raha ya jf kujiachia, kubanwabanwa for whatKuna mijitu ilixaliwa njiti humu🤣🤣
weka Bold hii, NAKAZIA HAPA HAPAHaya ni muendelezo wa matatizo yanayoletwa na kumfanya mwanamke aone kama unahitaji sana uwepo wake kwako. So anakutumia kwa maslahi yake binafsi, wewe unakuwa ni wale zimamoto akikutwa na majanga.
Sina wa kunibana hilo unalijua, kuna kima inajipa uzazi humu, makenge majiRaha ya jf kujiachia, kubanwabanwa for what
Ahahah kwakwel kwasis wahangaikaji moja ya ushauri muhim sana kuuzingatia ni huu, mind your own buznes always, kaa mbali kabisa na hiv viumbe, utakua na aman 😂😂. Ukizipata ndio kaa nao mbali kabisaaaaa, utatumia pesa zako kwa utulivu na amani zaidHata mademu wengi wanakutafuta kwenye simu na kujidai wametumiss lengo lao ni kuomba hela.
Pumbavu wewe nice utaula wa chuya.
Kweli hatutakiwi kuvi-entertain kabisa.Ahahah kwakwel kwasis wahangaikaji moja ya ushauri muhim sana kuuzingatia ni huu, mind your own buznes always, kaa mbali kabisa na hiv viumbe, utakua na aman 😂😂. Ukizipata ndio kaa nao mbali kabisaaaaa, utatumia pesa zako kwa utulivu na amani zaid
Kimefanyaje 🤣🤣Kichwa chako😂
We jamaa huyo kwenye picha ni weweKwa nini usalimiwe? Hasa mkiwa hamjuani?
Wengine hatupendi attention, kusalimiwa au kusalimia hasa Watu tusiojuana hatupendelei. Ingawaje ukisalimia tunaitikia.
NAKAZIA 🔨Ahahah kwakwel kwasis wahangaikaji moja ya ushauri muhim sana kuuzingatia ni huu, mind your own buznes always, kaa mbali kabisa na hiv viumbe, utakua na aman 😂😂. Ukizipata ndio kaa nao mbali kabisaaaaa, utatumia pesa zako kwa utulivu na amani zaid
Moja ya matumizi ya pesa ni kuwa na demu mkali pembeni we falla wangu😂😂😂Ahahah kwakwel kwasis wahangaikaji moja ya ushauri muhim sana kuuzingatia ni huu, mind your own buznes always, kaa mbali kabisa na hiv viumbe, utakua na aman 😂😂. Ukizipata ndio kaa nao mbali kabisaaaaa, utatumia pesa zako kwa utulivu na amani zaid
Naomba hela 🌚😂Nitaishije bila hela
Njoo uchukue mamaNaomba hela 🌚😂
Nakubali.Moja ya matumizi ya pesa ni kuwa na demu mkali pembeni we falla wangu😂😂😂
Dunia hii kama huna mdada mzuri anayeusaga moyo wako, hiyo pesa unaila kama ugali bila mboga😂😂Nakubali.
Haya, fanya kuniwekea😉😂Njoo uchukue mama
Sijui nikutukane, sijui nisemejeNakupita… na nikipotea narudi kukuuliza, na kwa namna ulivyokubali kuzaliwa Tanzania, utanijibu na hamna kitu utafanya.