Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Binafsi inanikumbusha mwaka 1979 mjini Njombe alikuwepo Afisa Utamaduni mmoja aliitwa Sapali aliitumia kuburudisha kwenye sherehe mbalimbali za kiserikali na chama tawala, vilevile mjini Iringa alikuwepo mwanafunzi mmoja wa shule ya msingi Igangilonga kama sikosei sana alikuwa anaipiga kwa umahiri kwenye sherehe mbalimbali
My take:
Kuna hatari ya kizazi kilichopo na kijacho kushindwa hata kupiga ngoma
My take:
Kuna hatari ya kizazi kilichopo na kijacho kushindwa hata kupiga ngoma