Ukiona Mnanda unakumbuka nini au wapi?

Ukiona Mnanda unakumbuka nini au wapi?

Enzi hizo nikiwa na imani kamili,nilikuwa sikosi kuhudhuria mikutano ya mzee Mosses kulola,kulikuwa na mwimbaji mmoja wa nyimbo za injili akiitwa mzungu four,huyu mtu alikuwa anakigandamiza hicho kifaa hadi unahisi usingizi,alikuwa sambamba na Faustine munishi,umenikumbusha mbali.
Umenikumbusha meingi sana
 
Wapiga kinanda wanajisikiaje Sana na Malaya kwel kwell
 
Back
Top Bottom