Ukiona mtaani Gari zimeandikwa katika Plate Number kama ifuatavyo usiumize kichwa

Watu mna moyo. Hii kazi yote hii mnapata wapi nguvu ya kuandika kwa mapana hivi ilhali sio business kwamba unapata kipato?
Ndo shida ya wabongo hii, yaani wewe unawaza hela tu???? Hivi unafikiri pesa ndo kila kitu? Hujui kuna watu humu wamejifunza kupitia uzi huu?


Kuna watu wamejifunza humu ili wakafundishe hata watoto wao ambao wako darasa la saba huko mashuleni wakasome na kujibia mitihani ya MAARIFA YA JAMII au mkuu hujui kuwa kuna vijana wetu ambao wanahangaika kusoma huko ili wapate hicho kipato unachokisema?


Maisha si kama unavyoyaona mkuu, wapo wengine wako bookly oriented, let them add something in their cabotio, kipato kipo tu hata wewe ukiulizwa swali kati yako wewe na mtoa hoja nani ataonekana bogus???

Wewe unayejua kuwa andiko lake halina muktadha wa kipato ndo uneonekana kituko, umepoteza muda kujibu ujumbe ambapo ungekuwa unaingiza kipato hahahahaha. Maisha baanaaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uzi safi nlikua nafanya kazi kwenye miradi ukoo Basi nakaa pale najitawala kwa Kupanda DFP land cruiser wala sikujua maana ake iyo DFP tulitamba sana kwa road uko vijijini daa🤣🤣
 
Mkuu tuwekee na picha tuone
 
Umesahau CGI (Commissioner General of Immigration) UT (Uhamiaji Tanzania)
 
Maelezo mazuri ahsante...


Kuna mdau mmoja alishauri kwanini gari za umma zisiwe zinatoa lift kwa wananchi pale panapokua na shida ya usafiri mf ..Dar...ili kuleta ile maana ya Mali ya Umma lol😅
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…