Hakainde
JF-Expert Member
- Jul 30, 2020
- 2,401
- 2,872
Na haya sijui SKM, SKL....
Mending number sijui za Dubai...yani vurugu tupu
Halafu namba plate nyeusi😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na haya sijui SKM, SKL....
Mending number sijui za Dubai...yani vurugu tupu
Malori yanabeba abiria kibiashara? Malori yanafanya biashara ya kusafirisha mizigo na sio abiria. Ila kwa magari yanayo safirisha abiria Kama tax, mabasi ya mikoani au wilayani au dalala na piki piki ndio Zina plate number za rangi nyeupe.
hapana sio ya taifa wala ya chama,.. yaani kanakua dizaini kama ka-bendera ila ni keusi kwa nnavoona material yake ni magumu kidogo.Bendera ya taifa au ya chama?
Kwnini malori hayana plate namba nyeupe ilhali yanafanya biashra?
hapana sio ya taifa wala ya chama,.. yaani kanakua dizaini kama ka-bendera ila ni keusi kwa nnavoona material yake ni magumu kidogo.
MMM ni Mtendaji Mkuu wa MahakamaNa ile MMM na SG ni za nani,
Alafu kuna hizi zenye namba za Singapore nazo ni za tasisi gani plate namba nyeusi na maandishi ya silver.
Sent from my SM-G973F using JamiiForums mobile app
Niliwaza kuipiga picha , nikakumbuka ununio nikashika adabu yanguCPA atabisha
Niliwaza kuipiga picha , nikakumbuka ununio nikashika adabu yangu
RAC.
Namba ya Gar ya Mkurugenzi wa Halmashauri ni SM.... Wewe katika coment yako umesema magari ya wakurugenzi ni hizo plate number nyeuzi na namba za herufi (kama za singapore) kama ulikuta mkurugenzi alitumia hiyo plate number labda kipindi cha uchaguzi kwa sababu za usalama. Ila number rasmi ya magari ya wakurugenzi wa jiji, manispaa, halmashauri ni SM.Unabisha kwa sababu hujawahi kuona. Nikae kinya kana kwamba nimeandika ujinga au😀. Acha ubinafsi, kwa hiyo unalolijua wewe ndiyo ukweli pekee?
SJK, SJX etc kuna namba kama hizo.
Sema kwa sababu ya kulinda heshima siwezi kutaja Halmashauri yenye namba kama hizo.
MMM -Msajili mkuu Wa MahakamaMMM ni Mtendaji Mkuu wa Mahakama
SG ni Solicitor General
Kuna uwezekano mkuu tuliona gari moja hiyo cruiser ila kwa nyakati tofauti maana binafsi sijawahi ona gari ingine ina plate number kama ile na njia yangu nnapotoka kazin ndo nnakutana nayo mara nyingi na ajabu yake nishauliza waendesha usafiri tofauti tofauti hamna alinipa jibu wote waliniambia ukweli wanahisi labda kwa majibu yao.Hii plate nimekutana nayo kwenye cruiser moja matata. Nikabaki nimekodoa tu
Uhamiaji Tanzania UTUT. Usalama wa Taifa au?
Mie niliwaza lkn ilikua ina overtake hatari na pia iko tinted mpka mie na chuma yangu nikaona acha iende maana mwenzangu aliniambia kwan si tushatoka kazin haina haja ya kua na haraka muache tu aende zake huyo. Nikapiga kimya chapNiliwaza kuipiga picha , nikakumbuka ununio nikashika adabu yangu
Kipindi cha uchaguzi nilikutana na gari limeandikwa UT nikajua ni wale waliotaka kumteka yule Zakaria wa Tarime, Nilikaa mbali na hiyo gari kiasi kwamba sikutaka niwe nayo karibu.kumbe Uhamiaji asante mdau japo nao ni walewale; Hawa jamaa walioenda kwenye makaburi ya wazazi wa kakobe kujua uraia wake.Kakobe akaufyata[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1].Uhamiaji Tanzania UT
Namba ya Gar ya Mkurugenzi wa Halmashauri ni SM.... Wewe katika coment yako umesema magari ya wakurugenzi ni hizo plate number nyeuzi na namba za herufi (kama za singapore) kama ulikuta mkurugenzi alitumia hiyo plate number labda kipindi cha uchaguzi kwa sababu za usalama. Ila number rasmi ya magari ya wakurugenzi wa jiji, manispaa, halmashauri ni SM.
Cruser jipya jipyaa ila namba A, nimekutana nalo barabara ya mbezi chini huku rainbowKuna uwezekano mkuu tuliona gari moja hiyo cruiser ila kwa nyakati tofauti maana binafsi sijawahi ona gari ingine ina plate number kama ile na njia yangu nnapotoka kazin ndo nnakutana nayo mara nyingi na ajabu yake nishauliza waendesha usafiri tofauti tofauti hamna alinipa jibu wote waliniambia ukweli wanahisi labda kwa majibu yao.
MMM -Msajili mkuu Wa Mahakama
MMM- Mtendaji mkuu Wa Mahakama. Hapo MMM inamtambulisha nani ?
Hili nimewahi kuliona. Tena number plate ya kijani hivi