Ukiona mtu anapambana na Watumishi wa Mungu usibishane nae angalia amefanya nini kwanza

Ukiona mtu anapambana na Watumishi wa Mungu usibishane nae angalia amefanya nini kwanza

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Nimeona roho za kupinga Watumishi wa Mungu zikisambaa vyema kama unaweza watu wa aina hii usibishane nao we angalia wao wanapiga kelelee wamefanya nn juu ya Mungu

Ukiona hamna kitu ujue basi we kazi yako nenda kapokee kile Mungu amekuandalia kwenye maisha yako na sio kuungana kushindana nao wote mtaonekana wehu

Kama unakasirika mkesha na wewe fanya mkesha wako watu waje kama unachukia uponyaji na wewe nenda ukaponywe.

Pesa sio kila kitu Neno la Mungu ndio kila kitu katika maisha yetu. Ukiondoa Neno la Mungu umeondoa kila kitu kwenye maisha yako
 
Kama Neno la Mungu ndio kila kitu kwa nini uhitaji na utumie Pesa?

Neno la Mungu lenye kila kitu kwa nini lisikupe mahitaji yako na manunuzi yako bure pasipo kutumia pesa?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Nimeona roho za kuppinga watumishi wa Mungu zikisambaa vyema kama unaweza watu wa aina hii usibishane nao we angalia wao wanapiga kelelee wamefanya nn juu ya Mungu...
Una umri gani? acha kuhusisha pesa na mambo ya ovyo ovyo
 
Siku hizi kila mtu anafoka tu shida nini? watumishi gani wa Mungu wanapingwa? ni wewe au mimi maana kila mtu ni mtumishi wa Mungu.

Semeni tu kwamba hao vibaraka wa wakuu wa bahari watu wenye akili wamewakataa.Lakini kupanga ni kuchagua kila la kheri kaka.
 
Una umri gani? acha kuhusisha pesa na mambo ya ovyo ovyo
Umeangalia amejiunga lini Jf?, ukute huyo ni babu yako unayebishana naye. Jibu hoja acha kushambulia mtoa hoja
 
Umeangalia amejiunga lini Jf?, ukute huyo ni babu yako unayebishana naye. Jibu hoja acha kushambulia mtoa hoja
Hakuna hoja yeyote hapo, kila kinacho fanyika dunia hii bila pesa hakifanyiki, hivyo basi wacha kuhusisha pesa na vitu vya ovyo ovyo
 
To each their Own....

Unashauri wasipingani na wapingaji...... ambapo Unapingana na wapingaji kwa kuwapinga ? Nadhani ungechukua ushauri wako mwenyewe.....
 
Manabii feki, mbwa mwitu mliovaa ngozi ya Kondoo, tutashughulika nanyi Hadi muache kuhadaa Wana wa Mungu, mrudi ktk KAZI zenu viringeni kwenye uganga wa jadi.
 
Nimeona roho za kupinga watumishi wa Mungu zikisambaa vyema kama unaweza watu wa aina hii usibishane nao we angalia wao wanapiga kelelee wamefanya nn juu ya Mungu....
Ndugu pdidy. Kwani wote wanaoitwa watumishi wa Mungu wote ni WA Mungu.? Au Kila atajae jina la Bwana nataurithi ufalme wa mbingu?

Akina mackenzee wa Kenya wanaoua watu nao ni watumishi wa Mungu? Wanaokanyagisha watu mafuta nao ni watumishi wa Mungu kwamba nguvu za Mungu zinaingilia kwenye unyayo wa mguu?

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Wanaokanyagisha watu mafuta nao ni watumishi wa Mungu kwamba nguvu za Mungu zinaingilia kwenye unyayo wa mguu?
😅😅 ila sijui wanakua wamefungwa ufahamu wale wanagombania kabisa kukanyaga
 
Ndugu pdidy. Kwani wote wanaoitwa watumishi wa Mungu wote ni WA Mungu.? Au Kila atajae jina la Bwana nataurithi ufalme wa mbingu?

Akina mackenzee wa Kenya wanaoua watu nao ni watumishi wa Mungu? Wanaokanyagisha watu mafuta nao ni watumishi wa Mungu kwamba nguvu za Mungu zinaingilia kwenye unyayo wa mguu?

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Mkuu ukute mwandishi kalewa mafuta ya upako, watu hao huwa hawaoni baya kwa watumishi wao.. Kimsingi fahamu/akili zao zimetiwa giza hata wasione upotevu wa yule mwovu... Kazi yao ni kutetea mtumishi.. Wala hawajiuliza hivi kwa nini wa nasema huyu, wa tafakari... Wao kazi yao ni kubisha.... Nawambia hata neno lina Sema msifurahi bse mapepo yanawatii.. Bali furahini bse jina lako imeandikwa ktk kitabu cha uzima.. Maana kuwa na upako wa kuponya au kutoa mapepo nk... Sio kigezo cha kuingia mbinguni... Kwa maneno mengine hata huyo unaemwona mpakwa mafuta huenda anaetenda dhambi kama wengine... So don't put your trust on church or ur pastor... Put your trust on Jesus our Lord, our only role model ktk Imani... 🙏
 
wanajitoa ufahamu hawaelewi kuwa kanisa likiondolewa duniani hawataishi maisha wanayoyaishi
 
Back
Top Bottom