Una umri gani? acha kuhusisha pesa na mambo ya ovyo ovyoNimeona roho za kuppinga watumishi wa Mungu zikisambaa vyema kama unaweza watu wa aina hii usibishane nao we angalia wao wanapiga kelelee wamefanya nn juu ya Mungu...
Umeangalia amejiunga lini Jf?, ukute huyo ni babu yako unayebishana naye. Jibu hoja acha kushambulia mtoa hojaUna umri gani? acha kuhusisha pesa na mambo ya ovyo ovyo
Hakuna hoja yeyote hapo, kila kinacho fanyika dunia hii bila pesa hakifanyiki, hivyo basi wacha kuhusisha pesa na vitu vya ovyo ovyoUmeangalia amejiunga lini Jf?, ukute huyo ni babu yako unayebishana naye. Jibu hoja acha kushambulia mtoa hoja
Ndugu pdidy. Kwani wote wanaoitwa watumishi wa Mungu wote ni WA Mungu.? Au Kila atajae jina la Bwana nataurithi ufalme wa mbingu?Nimeona roho za kupinga watumishi wa Mungu zikisambaa vyema kama unaweza watu wa aina hii usibishane nao we angalia wao wanapiga kelelee wamefanya nn juu ya Mungu....
π π ila sijui wanakua wamefungwa ufahamu wale wanagombania kabisa kukanyagaWanaokanyagisha watu mafuta nao ni watumishi wa Mungu kwamba nguvu za Mungu zinaingilia kwenye unyayo wa mguu?
Mkuu ukute mwandishi kalewa mafuta ya upako, watu hao huwa hawaoni baya kwa watumishi wao.. Kimsingi fahamu/akili zao zimetiwa giza hata wasione upotevu wa yule mwovu... Kazi yao ni kutetea mtumishi.. Wala hawajiuliza hivi kwa nini wa nasema huyu, wa tafakari... Wao kazi yao ni kubisha.... Nawambia hata neno lina Sema msifurahi bse mapepo yanawatii.. Bali furahini bse jina lako imeandikwa ktk kitabu cha uzima.. Maana kuwa na upako wa kuponya au kutoa mapepo nk... Sio kigezo cha kuingia mbinguni... Kwa maneno mengine hata huyo unaemwona mpakwa mafuta huenda anaetenda dhambi kama wengine... So don't put your trust on church or ur pastor... Put your trust on Jesus our Lord, our only role model ktk Imani... πNdugu pdidy. Kwani wote wanaoitwa watumishi wa Mungu wote ni WA Mungu.? Au Kila atajae jina la Bwana nataurithi ufalme wa mbingu?
Akina mackenzee wa Kenya wanaoua watu nao ni watumishi wa Mungu? Wanaokanyagisha watu mafuta nao ni watumishi wa Mungu kwamba nguvu za Mungu zinaingilia kwenye unyayo wa mguu?
Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app