Ukiona Mtu anatolea Ufafanuzi 'Dhambi' fulani iliyotendwa nao huku kavalia Miwani 'myeusi' jua ni 'Muongo' sana

Ukiona Mtu anatolea Ufafanuzi 'Dhambi' fulani iliyotendwa nao huku kavalia Miwani 'myeusi' jua ni 'Muongo' sana

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Halafu mlivyo Wapuuzi yaani Watu mmeshawaumiza halafu mnawaomba tena eti kama kuna aliyeumizwa kama inavyoenezwa ajitokeze ili mkamtibie Hiospitalini kwani Serikali hii ni Sikivu. Hivi kama Serikali ingekuwa Sikivu Wananchi hao Wangenyanyasika hivyo kwa Vipigo, Kujeruhiwa na hata Kuuwawa? Kwahiyo huyo Askari wenu Sikivu Yeye ameuwawa kwa kutokuwa Msikivu kwa Wananchi waliokuwa wakidai Haki yao?

Wewe uliyevaa Miwani myeusi rekebisha hapo uliposema kuwa kama kuna Mwananchi aliyeumia aje awaone ili mkamtibie na sema tu kuwa kwa wale waliojeruhiwa wote wasithubutu kuja Kwenu Kujionyesha kwani wakija ndyo Safari yao ya kwenda kuyaanza Maisha mapya Udongoni Kaburini ( nikimaanisha Kufa ) ndiyo itakuwa imeanza..

Unatolea Maelezo jambo ( Suala ) muhimu unatuvalia Miwani yako myeusi ya nini? Kuna Watu ni Wapumbavu mno tu.
 
Alafu chief yeye anazungumzia uwekezaji wa gesi...
 
Miwani nyeusi na hakuna jua wanajitahidi kuficha aibu kwa upopoma wanaongea
 
Viongozi wengi ni vipofu wa thamani ya watu wengine ndio maana wanavaa miwani nyeusi kuthibitisha upofu wao
 
Hili jambo linashangaza sana, nakupiga nakuumiza halafu nakwambia njoo nikupeleke hospitali.
 
Wale wana dawa zao huko porini. Watajitibia na nina uhakika. Sahv hawaiamini sere kabisa. Washatangaza vita
 
Back
Top Bottom