Ukiona mwanamke kaacha kukupenda, achana naye kabla hujaachwa

Ukiona mwanamke kaacha kukupenda, achana naye kabla hujaachwa

Mbona mnajirudi na kushusha kamasi?

Ila ke ni kiumbe hatari sana jirani, nyie, nyie, nyie hapana kwa kweli. Yani akiweka nukta mi nachana daftari kabisa.
Ukiona karudi ujue kuna kisasi hajakimaliza.
Yote chanzo ni nyie, mna ushubwada mwingi sana.!! Sasa KE akichoka mnaanza kujiliza.
 
Ukiona karudi ujue kuna kisasi hajakimaliza.
Yote chanzo ni nyie, mna ushubwada mwingi sana.!! Sasa KE akichoka mnaanza kujiliza.
Lamomy you're talking from experience I see 😂
Inaonekana huko nyuma Kuna mtu ulipiga Sana matukio sio bure
 
Ukiona karudi ujue kuna kisasi hajakimaliza.
Yote chanzo ni nyie, mna ushubwada mwingi sana.!! Sasa KE akichoka mnaanza kujiliza.
Akili zenu mnazijua wenyewe wala msitusingizie kuwa chanzo ni sisi.
 
Mwanaume usipoteze mda wako kumpenda mtoto wa mtu, mambo ya kufanya ni mengi majukumu shazi..... Akikupa kula akisusa achana nae wapo wengi mno duniani mpaka wanatupita kwa idadi....... So as a man heshimu thamani yako.


Slow down your mind control your lust, utagundua they gat nothing to offer you rather than pussy.

Mwanaume mwenzangu kataa kuwa manipulated na hawa viumbe dhaifu..📌
Naishi humu😅
 
Upo sahihi mkuu, nilikua na demu nilitokea kumpenda na yeye akanipenda.

Kwa kuwa nilikua na kazi na yeye hana nikaamua kumpambania mpaka akapata kazi tena nzuri ofisi ya mshkaji angu.

Aliivyoanza kushika vipesa vya hapa na pale nikaanza kuona mabadiliko. Ikawa sometimes nikiomba faragha visingizio haviishi, mara niko bize kazini mara naumwa, nikitaka kwenda kumpokea kazini anajivuuuta kunijibu na wakati mwingine nikifika kazini kwao nakuta ameshaondoka nikimchek ananiambia Amepata lift.

Kufikia hapo mie red flag 🚩 zikaanza kujionyesha bila kificho lakini kidume sikutaka kuamini hali halisi nikazidi kukaza shingo.

Kuna siku nampigia simu ikawa inatumika kama dk5 hivi mfululizo(kidume najipa moyo labda anaongea na mama yake) baada ya hapo simu ikawa inaita ila haipokelewi baadae ikawa haipatikani kabisaaa hakuna siku nilipagawa kama siku hiyo.

Baada ya muda kidogo naona txt inaingia nikaifungua kwa kimuhemuhe, sasa kila nikiisoma naona mbona kama hii txt hainihusu mimi? Kumbe demu alikosea badala ya kumtumia bwana ake mpya akawa ameituma kwangu. Daaaaah!!!! Hakuna siku niliumia kama siku ile, nampigia kumuuliza akanichana live kwamba kwa sasa hayupo comfortable kuwa na mimi labda tupeane likizo. Nilichofanya nikafuta kila kitu kumuhusu halafu nikaanza mtihani mzito wa kumsahau ilichukua muda ila nilifanikiwa
Duh, aisee 🤔,,, wanawake Ni viumbe hatari Sana.
 
Ukiona karudi ujue kuna kisasi hajakimaliza.
Yote chanzo ni nyie, mna ushubwada mwingi sana.!! Sasa KE akichoka mnaanza kujiliza.
Mimi ni mwanaume lakini nilichogundua ni kuwa siku hizi malalamiko ya wanaume kwa wanawake kwenye uhusiano yamekuwa mengi sana. Tatizo liko hapa: wanawake wa siku hizi wamejitambua na siyo kama wale wa zamani. Zamani mwanamke alikuwa ni kiumbe wa nyumbani, mlezi wa watoto wakati mwanaume alikuwa ni mtu wa kutoka, kufukuzia wanawake wengine kama anavyopenda na kufanya atakavyo. Sasa hivi utandawazi umefanya wanawake kuwa wajanja na kujibu mapigo. Zamani mwanamke akibadilisha wanaume kila uchwao alikuwa anaitwa malaya siku hizi wanasema kaachana na fulani na inaonekana ni jambo la kawaida kabisa.
 
Mimi ni mwanaume lakini nilichogundua ni kuwa siku hizi malalamiko ya wanaume kwa wanawake kwenye uhusiano yamekuwa mengi sana. Tatizo liko hapa: wanawake wa siku hizi wamejitambua na siyo kama wale wa zamani. Zamani mwanamke alikuwa ni kiumbe wa nyumbani, mlezi wa watoto wakati mwanaume alikuwa ni mtu wa kutoka, kufukuzia wanawake wengine kama anavyopenda na kufanya atakavyo. Sasa hivi utandawazi umefanya wanawake kuwa wajanja na kujibu mapigo. Zamani mwanamke akibadilisha wanaume kila uchwao alikuwa anaitwa malaya siku hizi wanasema kaachana na fulani na inaonekana ni jambo la kawaida kabisa.
Unakaribia kufa bro, ushaanza kugundua siri zetu.!! 😂😂😂
Wanawake siku hizi tunatafuta pesa na tunakutana na wanaume mbalimbali wenye ushawishi, sasa nianze kumsujudia king’ong’o mmoja asiyejitambua wa kazi gani??
Kwanza siku hizi mkituacha tunaagiza flying fish ya baridi tunashushia sio shida zetu. 🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️
 
Sasa Lamomy unataka kusema saivi haupo Kwenye serious r/ship inanoweza kuzalisha ndoa?
Mimi ndoa ya kazi gani?? Niache kuponda raha za dunia nianze kufikiria kufua boksa za mtoto wa mtu.!!? 🤣🤣🤣
 
hamuwajui hao ooh, mimi mpaka sasa nimeachan na manz karibia 4, mmoja alimpata mwalimu, wawili waliamua kurudia ma ex zao, mmoja wa mwisho kaend udsm kapata huko mshakaji, oho am already taken aisee, till now am singel, saivi kwanza nikitaka kuw na manz lazma anipe background, mambo yakuwa na mtu alfu ex awe anarudi kuomba msamaha tiari wewe mpya unakimbiwa , ila sidhani kama nitaoa.
 
Ukiambiwa we boyfriend haimaniishi uko pekeako, wadogo usoni wanahifadhi adi wazee wako, sijui ni dhiki au tamaa tu.
Anataka kuolewa na anamegwa kama kawa.

🎵 Scottz unaolini, bado nipo nipo sana.
 
Back
Top Bottom