Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Huwa inaanza kama utani vile. Mwishowe unajilia vyako kiulaini kabisa.Mkuu ukiweza kuwa-time utawalamba wengi sana.
Utashangaa wanakuja kukuambia siku ile ni shetani alinipitia wala usingenipata😀😀😀😀We ushajitandikia zako hapo.
Lazima uwe mjanja mjanja