Ukiona mwanaume amekuwa shoga jua ni pepo mchafu yuko ndani yake. Hakuna cha homoni wala nini

Ukiona mwanaume amekuwa shoga jua ni pepo mchafu yuko ndani yake. Hakuna cha homoni wala nini

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Hello!
Amani ya Mungu iwe nanyi.
Ukiona binti anavaa nguo za kiume, anacheza michezo ya kiume, anaongea kiume, anacheza na wanaume haswa huyo ana pepo mchafu. Huyo pepo mchafu kadri siku zinavyososonga anabadili mpaka sura ya huyo binti na kuwa kama mwanaume.
Ukiwa na ndugu au mtoto wa hivyo funga au jiandae kiroho mwekee mkono kichwani pepo litamtoka na atakuwa mwanamke na kuipenda jinsia yake.
Binti anaishi ndani hana skirt wala gauni moja mzazi unachekea tu. Unatenda dhambi, mtimue ndani mwako kama umeshindwa kumfungua. Mungu ameumba kila kitu vizuri, hizo kasoro ni kazi ya Ibilisi. Mwombee mfungue au mpeleke kwa watu wa Mungu wamfungue. Unaishije ndani na mtu mwenye pepo mchafu, timua aondoke nyumbani mwako pamoja na pepo lake asikuletee laana ndani.
Kijana wa kiume akianza kuminya pua, anavaa vikaptura vya hovyo, anakaa jikoni muda wote kama paka, anavaa vi t-shirt kama viblauzi, anaonyesha ishara zote za kike mfungue haraka, huwezi mpeleke kwa watu wa Mungu wamfungue. Huwezi mfukuze ndani aondoke pamoja na pepo wake.
Dunia Ibilisi anaipeleka kasi sana.
Usikubali Ibilisi akushawishi uone ushoga na u tomboy ni jambo la kawaida. Ni laana ndani ya familia na nchi kiujumla.
 
1. Homoni hizo kwa mpango hata wewe uanze kulawitiwa saiv signals zikikubali kwenye ubongo unakuwa shoga, watu wakuguse kidogo tu zikapanda tunakupoteza. (Complex biological process)

Pia wapo wanazaliwa na hiyo hali due to biological imbalance ndio huwabadirisha physiology na behaviour.

2. Pepo ni kwa nyie mnaoamini, mmetekwa na upuuzi. Pepo, wewe unalijua pepo, pepo ni kitu kimejengewa kwenye akila za kiafrica. Kwamba ni roho chafu zinazoingilia watu kufanya vitu vinavyowaharibia maisha.

Binti yangu nakwambia. Ushoga ni hormone achana na pepo sijui takataka gani.
Kwahiyo wewe unaweza anza ingiliaa kinyume na maumbile na umekaa zako tu ndani kwasababu umepata pepo mchafu?
 
Kupitia nyuzi kama hizi ndio mnazidi kupaisha ushoga. No publicity is bad publicity.

Ikiwa wewe ama watu wako hawajaguswa na ushoga shukuru Mungu, ikiwa kuna alieuguswa, muombee Mungu amuongoze kutoka huko.

As long as mtu anatumia ndutsu yake kuzagamuliwa achana nae, wewe linda yako tu. Ila tukianza kila siku majadiliano kuhusu ushoga ni kama kuzidi kuupa promo.

Chunga kalio lako na la familia yako, ya wengine waachie wenyewe.
 
Huko Ng'ambo ambako ni matajiri mbona watoto wao wameshindwa kuwatibu?
Hakuna cha hormonal imbalance ni pepo wachafu
Ni kwa sababu wamekubaliana na hali ya ugonjwa…, kukubaliana na hali ya ugonjwa ndio tatizo hasa..;

Pia huko wapo ambao hawakubaliani na hali hiyo, na huenda kupatiwa ‘Hormone therapy’ ili kuwa sawa kijinsia
 
Kupitia nyuzi kama hizi ndio mnazidi kupaisha ushoga. No publicity is bad publicity.

Ikiwa wewe ama watu wako hawajaguswa na ushoga shukuru Mungu, ikiwa kuna alieuguswa, muombee Mungu amuongoze kutoka huko.

As long as mtu anatumia ndutsu yake kuzagamuliwa achana nae, wewe linda yako tu. Ila tukianza kila siku majadiliano kuhusu ushoga ni kama kuzidi kuupa promo.

Chunga kalio lako na la familia yako, ya wengine waachie wenyewe.
Kwa mujibu wa katiba yetu Ulinzi si jukumu la police na jeshi la wananchi, ni jukumu la kila Mtanzania.
Hivyo na mambo ya kulinda familia watoto wasiingizwe nyuma ni jukumu letu sote
 
Ushoga ni tabia inaanza kwenye malezi, mtoto anakesha kuangalia series na movies ndani na maudhui hayo lazma yawepo unategemea nini, majina ndo umempa ya haohao wanao act kwenye series, kazi ngumu hawezi, kutwa kula chips, popcorn, na ma yummy foods unategemea hata attach na ushoga kweli? Hakuna mambo ya biological imperfection hapo. Ni kuendekeza ujinga na ugoigoi tu
 
Ushoga ni tabia inaanza kwenye malezi, mtoto anakesha kuangalia series na movies ndani na maudhui hayo lazma yawepo unategemea nini, majina ndo umempa ya haohao wanao act kwenye series, kazi ngumu hawezi, kutwa kula chips, popcorn, na ma yummy foods unategemea hata attach na ushoga kweli? Hakuna mambo ya biological imperfection hapo. Ni kuendekeza ujinga na ugoigoi tu
Mtoto wa kike unamnunulia misuruali ya nini?
Mtoto wa kiume unamnunulia nguo za hovyo , vishati kama blauzi.
Kweli ni pepo lakini wazazi wengine wanalichochea hilo pepo
 
Hello!
Amani ya Mungu iwe nanyi.
Ukiona binti anavaa nguo za kiume, anacheza michezo ya kiume, anaongea kiume, anacheza na wanaume haswa huyo ana pepo mchafu. Huyo pepo mchafu kadri siku zinavyososonga anabadili mpaka sura ya huyo binti na kuwa kama mwanaume.
Ukiwa na ndugu au mtoto wa hivyo funga au jiandae kiroho mwekee mkono kichwani pepo litamtoka na atakuwa mwanamke na kuipenda jinsia yake.
Binti anaishi ndani hana skirt wala gauni moja mzazi unachekea tu. Unatenda dhambi, mtimue ndani mwako kama umeshindwa kumfungua. Mungu ameumba kila kitu vizuri, hizo kasoro ni kazi ya Ibilisi. Mwombee mfungue au mpeleke kwa watu wa Mungu wamfungue. Unaishije ndani na mtu mwenye pepo mchafu, timua aondoke nyumbani mwako pamoja na pepo lake asikuletee laana ndani.
Kijana wa kiume akianza kuminya pua, anavaa vikaptura vya hovyo, anakaa jikoni muda wote kama paka, anavaa vi t-shirt kama viblauzi, anaonyesha ishara zote za kike mfungue haraka, huwezi mpeleke kwa watu wa Mungu wamfungue. Huwezi mfukuze ndani aondoke pamoja na pepo wake.
Dunia Ibilisi anaipeleka kasi sana.
Usikubali Ibilisi akushawishi uone ushoga na u tomboy ni jambo la kawaida. Ni laana ndani ya familia na nchi kiujumla.
Umeongelea swala la kiimani zaidi lakini lile la kibailojia vipi?
 
1. Homoni hizo kwa mpango hata wewe uanze kulawitiwa saiv signals zikikubali kwenye ubongo unakuwa shoga, watu wakuguse kidogo tu zikapanda tunakupoteza. (Complex biological process)

Pia wapo wanazaliwa na hiyo hali due to biological imbalance ndio huwabadirisha physiology na behaviour.

2. Pepo ni kwa nyie mnaoamini, mmetekwa na upuuzi. Pepo, wewe unalijua pepo, pepo ni kitu kimejengewa kwenye akila za kiafrica. Kwamba ni roho chafu zinazoingilia watu kufanya vitu vinavyowaharibia maisha.

Binti yangu nakwambia. Ushoga ni hormone achana na pepo sijui takataka gani.
Kwahiyo wewe unaweza anza ingiliaa kinyume na maumbile na umekaa zako tu ndani kwasababu umepata pepo mchafu?
pepo toka
 
Back
Top Bottom