cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Tale kuna muda akikaa hata yeye mwenyewe haamini kama ni mbunge walai bilai watalai
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani Tale kuna muda akikaa hata yeye mwenyewe haamini kama ni mbunge walai bilai watalai
Hivi mpishi wake nae aliapishwa?Hao mabwana wanazo mbinu nyingi za kulazimisha ushauri wao wa kizalendo utiliwe maanani.
Hiyo ya kupenyeza taarifa nyeti kwa vyombo vya habari, wanaharakati na wapinzani ni moja ya njia za awali tena za 'amani'.
Wakiona mambo yanaharibika sana basi watalazimika kutumia mbinu mbaya zaidi. Uwezo huo wanao.
Kwa hali ilipofika sasa ya safari za SIRI za kiongozi kuanikwa tena zikiwa kwenye hatua ya mipango inapaswa kuwa 'wake up call' kwa kiongozi husika.
Kumbuka, mamlaka ya kwenye karatasi hayana maana yoyote ikiwa wale unaowategemea ku enforce mamlaka yako hawako upande wako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walio/wanaoSOMA vyuo wana kitu wanaita kusap yaani unaweza kuona wenzako wanatunukiwa kwenye mahafari wewe umebaki hapo.
So kama hujaelewa baki hapo kwanza muda wako bado [emoji16]!.
Matibabu ya ugonjwa gani?Inasemekana anapatiwa matibabu huko cuba
Kwa hali ilivyo kwa sasa Kasim Majaliwa ni afathali kabisa kwani hana shutuma za ufisadi za wazi kama wengine. Nathani ndio maana kawekewa Naibu Waziri Mkuu ili kumpunguza nguvuBora ya Majaliwa kuliko balaa la sasa
Yani umenichekesha wewe😂😂😂, Joe alivyo msahaulifu asije akang'ang'ania pale ikulu ya Tunguu akidhan bado yu whitehouseMtakufa navyo vihiba vya roho.
Mama kaenda kumtayarishia sehemu ya kufikia Joe huko Kiwengwa.
Hahaha yote anaenda kuyamwaga pale kijiweni kwake manzeseSafari akiwemo Babu Tale hakunaga Siri hapo 🐼
Unamjua majaliwa wewe au unamuona tu kwenye TV?Kwa hali ilivyo kwa sasa Kasim Majaliwa ni afathali kabisa kwani hana shutuma za ufisadi za wazi kama wengine. Nathani ndio maana kawekewa Naibu Waziri Mkuu ili kumpunguza nguvu
Ebu tueleze Mkuu maana sie hatuna tuhuma za wazi za ufisadi juu yake na alikuwa mfuasi muaminifu wa JPM.Unamjua majaliwa wewe au unamuona tu kwenye TV?
Yaaani we una ufala sanaaa😅😅😅Yani Tale kuna muda akikaa hata yeye mwenyewe haamini kama ni mbunge walai bilai watalai
Tupe mchongo mkuuUnamjua majaliwa wewe au unamuona tu kwenye TV?
Japo CCM yote ni majangili lakini ana nafuuKwa hali ilivyo kwa sasa Kasim Majaliwa ni afathali kabisa kwani hana shutuma za ufisadi za wazi kama wengine. Nathani ndio maana kawekewa Naibu Waziri Mkuu ili kumpunguza nguvu