Ukiona una miaka 28 halafu benki huna hata vibilioni 30, wewe si mwanaume

πŸ˜…πŸ˜… Mkuu huyu kajibandika tu hilo jina, hawezi kuwa yule jamaa mwenyewe
 
Huyu jamaa nimemkuta na huku πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… dunia haijawahi ishiwa vituko
 
Kumekucha tena.πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Sina wasi wasi na mke wangu sababu najua huna cha kumfanya...........nguvu za uzazi huna .........utampataje sasa........alisikika mlevi mmoja akiropoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…