Ukiona una miaka 28 halafu benki huna hata vibilioni 30, wewe si mwanaume

Ukiona una miaka 28 halafu benki huna hata vibilioni 30, wewe si mwanaume

Kwenye haya maisha hua nashangaa sana mtu unakuaje na miaka kuanzia 28 halafu bank account Haina hata billion 30 ambazo ni pesa za nyanya kwangu aisee hivi unaishijeishije na mwanamke ambae anahitaji kutunzwa mwanamke ni mama wa pili kutoka mama yako mzazi aisee nyie masikini tafuteni hela la sivyo wake zenu nitawahudumia sana na nyie wenyewe hamna Cha kunifanya sababu ni masikini tafuteni hela nyie masikini
Ni jambo jema maskini kuhamasisha watu kutafuta pesa. Ukweli umaskini sio mzuri.
 
Kwenye haya maisha hua nashangaa sana mtu unakuaje na miaka kuanzia 28 halafu bank account Haina hata billion 30 ambazo ni pesa za nyanya kwangu aisee hivi unaishijeishije na mwanamke ambae anahitaji kutunzwa mwanamke ni mama wa pili kutoka mama yako mzazi aisee nyie masikini tafuteni hela la sivyo wake zenu nitawahudumia sana na nyie wenyewe hamna Cha kunifanya sababu ni masikini tafuteni hela nyie masikini

Ha ha haaa
Kumbe wee bado unajitafuta.
Teh teh teh tihiii
 
Kwenye haya maisha hua nashangaa sana mtu unakuaje na miaka kuanzia 28 halafu bank account Haina hata billion 30 ambazo ni pesa za nyanya kwangu aisee hivi unaishijeishije na mwanamke ambae anahitaji kutunzwa mwanamke ni mama wa pili kutoka mama yako mzazi aisee nyie masikini tafuteni hela la sivyo wake zenu nitawahudumia sana na nyie wenyewe hamna Cha kunifanya sababu ni masikini tafuteni hela nyie masikini
Boss bila kuona marinda Yako tu prove kama kweli wewe ni mwanaume Uzi wako ni batili
 
Unapost ili uonekane una thread nyingi au ni sifa tuu?

shirikisha ubongo dada.......au ndo upo nyuma ya Keyboard?
 
Kwenye haya maisha hua nashangaa sana mtu unakuaje na miaka kuanzia 28 halafu bank account Haina hata billion 30 ambazo ni pesa za nyanya kwangu aisee hivi unaishijeishije na mwanamke ambae anahitaji kutunzwa mwanamke ni mama wa pili kutoka mama yako mzazi aisee nyie masikini tafuteni hela la sivyo wake zenu nitawahudumia sana na nyie wenyewe hamna Cha kunifanya sababu ni masikini tafuteni hela nyie masikini
Aisee! Ngoja kwanza nitunze "comment" yangu, niangalie upepo unavyokwenda, huenda nikarudi tena baadaye.
 
Ingawa Cheif Godlove ana tambo sana ila huyu siyo yeye wewe umezidi dharau na id yako fake
 
Kwani Tanzania ushoga umeruhusiwa lini? Naona vijana wameharibika sana, huko nyuma hawakuwa hivi hawa.
 
Hatimaye kupitia wewe singlemom tunapumua kidogo🤒 kaza bro
 
Back
Top Bottom