Ukiona unajisikia vibayavibaya huwa unafanyaje?

Ukiona unajisikia vibayavibaya huwa unafanyaje?

[emoji28][emoji28][emoji28]Ila Fk ety ndo mana waga hip-hop
Sana hunaga maneno mengi kama ni Black unasema Black kama ni White unasema white [emoji16] hunaga mambo ya kijani kiwiti, sjui Mustred yellow
 
Sana hunaga maneno mengi kama ni Black unasema Black kama ni White unasema white [emoji16] hunaga mambo ya kijani kiwiti, sjui Mustred yellow

Sana hunaga maneno mengi kama ni Black unasema Black kama ni White unasema white
emoji16.png
hunaga mambo ya kijani kiwiti, sjui Mustred yellow
๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜ŠMim napenda ndio nko hvi unapendeza nakwambia hapo hapo ujapendeza....
Umekosea sianzi kuzunguka
 
Mi zamani nikiwa najisikia vibaya namtafuta mpenzi wangu nampa vizuri hali inaisha namvuruga mbaya saivi nikijisikia vibaya naenda nje nakaa hapo nakumbukia mazuri mengi basi narudi kwa hali yangu y kawaida au nalala
 
Mi zamani nikiwa najisikia vibaya namtafuta mpenzi wangu nampa vizuri hali inaisha namvuruga mbaya saivi nikijisikia vibaya naenda nje nakaa hapo nakumbukia mazuri mengi basi narudi kwa hali yangu y kawaida au nalala
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Sasa naanzaje kujisikia vibaya ilihali mi mwenyewe kituko tosha..๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom