Ukiona unajisikia vibayavibaya huwa unafanyaje?

Ukiona unajisikia vibayavibaya huwa unafanyaje?

Mi zamani nikiwa najisikia vibaya namtafuta mpenzi wangu nampa vizuri hali inaisha namvuruga mbaya saivi nikijisikia vibaya naenda nje nakaa hapo nakumbukia mazuri mengi basi narudi kwa hali yangu y kawaida au nalala
Njia nzuri na sahihi,hata kuhusu mapenz tunashauriwa kufikiria positive things za wapenz wetu mambo yanaenda sawa
 
Mimi nikiona nipo hovyohovyo tu ....sijui najisikiaje .... nawagombanisha shabiki wa simba na Yanga halafu nakaa pembeni nikishuhudia wakizozana, gombana au toboana macho kama siku ya leo hii 😂
Bangi mbaya sana.
 
I think hii kitu inakata logic brain na unabakia na emotions Brain,naombeni watalaamu wanisaidie hili. Pia inabakia kuona illusion ambazo hazipo ama nakosea watalaamu wa binadamu
Tuwaulize watumiaji
 
Kama Hali ikinikuta nyumbani nakaa zangu chumbani kimya..Kama ikinikuta kibaruani nakua kimya na ikiwezekana natafuta excuse ya kutokuwepo eneo husika.
 
Kama Hali ikinikuta nyumbani nakaa zangu chumbani kimya..Kama ikinikuta kibaruani nakua kimya na ikiwezekana natafuta excuse ya kutokuwepo eneo husika.
Yeah,mwenyewe huwa naomba ruhusa nisepe maana unaweza jikuta umegombana na watu ofisini
 
Ha ha haa,aisee
Wacha tu nikusaidie, fanya hivi.

Tafuta mtu wa Yanga akusukumie kitu kizito kama cha Aziz Ki, utakuja kunishukuru baadae.

Hivi vigoli vya pasi za hapa na pale ni kama umeshavizoea.
 
Wacha tu nikusaidie, fanya hivi.

Tafuta mtu wa Yanga akusukumie kitu kizito kama cha Aziz Ki, utakuja kunishukuru baadae.

Hivi vigoli vya pasi za hapa na pale ni kama umeshavizoea.
😂nashukuru
 
Back
Top Bottom