Ukiona watu wanalazimisha sana salaamu kutoka kwako ujue tayari umewazidi kitu

Ukiona watu wanalazimisha sana salaamu kutoka kwako ujue tayari umewazidi kitu

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Salaamu ndio desturi hasa katika jamii zetu hapa Tanzania, lakini kuna baadhi ya mikoa ambayo kuna wimbi kubwa la jamii ya watu Ambao hawaja staarabika.

Mfano mkoa wa Geita ni kawaida sana kumpa mtu Salaamu na akakataa kabisa kuitikia tofauti na mikoa ya pwani kama Tanga na kwingineko.

Mikoa hii yenye jamii kubwa ya watu Ambao hawajastaarabika ukiona Salaamu yako inashobokewa au mtu mzima anabembeleza umsalimie ujue tayari umemzidi kitu au kuna neema fulani unayo na yeye hana.
 
ni kawaida sana kumsalimia mtu na akakataa kuitikia hasa mkoa wa Geita
 
Kuna ile nimemsalimia mtu then hajarespond kuna jibu langu 🤬 natoaga kimoyo moyo alafu lipogo defaulted tu.
 
Salamu sio lazima unless kuna conversation unataka kuanzisha
 
Back
Top Bottom