Ukiona watu wanapendana waombee heri na sio kuwagombanisha

Hapo umelewa Penzi Mzee Baba huoni mbele Wala nyuma We don't judge you [emoji41][emoji474][emoji474][emoji474]anayejudge hajawahi kupitia unavyojisikia.....Penzi ni upofu
 
Mnajuana nje ya JF?
 
" I'm responsible for what I say bt not responsible for your understanding"
😂😂
 
😄😄Bangi za bongo amna kitu alafu ni makushabu ti tena low quality huku madagascar tunakula weed ya ubuyu unapata stimu na utamu huwez kuwehuka ila za uko kwenye komedi ukipga puff 3 tu akili inaruka
😂🤣🤣, kweli una vuta ganja😂🤣🤣. Maana umejaa uhovyo tu😂🤣
 
The world wishes well for no damn body. Ukiwa na chako kizuri, stay low, enjoy peke yenu. Labda occassionally ndo uyaweke public. Lakini kila mara kujitahidi kuonyesha mapenzi yako/yenu katika kadamnasi, I believe katika mtu 10:mtu 1 ndo atawafurahia, wengne tisa tutamani kila aina ya baya liwatokee. It is what it is.
HII PEKEE IMETOSHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…