lulu za uru
JF-Expert Member
- Aug 7, 2015
- 2,557
- 3,221
Mnajuana nje ya JF?Ameandika kingereza ili kupunguza maneno,hamna mtu anachukia mahusiano ya mtu ila shida huwa inakuja pale mtu anajifanya limbukeni wa mapenzi kana kwamba yeye ndo wa kwanza kupenda na kupendwa,ishi maisha yako hakuna mwenye habari na wewe maisha yako ukiyaleta public tayari itakuwa ni mali ya public ko jiandae kupokea lolote.kabla ya kulaumu watu jisahihishe ulipokosea.
In case kama mlikuwa hamjui huyu ndio DC kisarawe ,tangu abwagwe na kukataliwa na DNA amekuwa na sumu sana
Anakosa wa kumlaumu anadhani labda ni wana jf make walikuwa wanampondea ko anadhani wamechangia
Kuna jamaa anaitwa@Smart911 anaweza kuwa reference
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Si mlikuwa mnatongozana jukwaa fulani hivi amazing au nimechanaganya ma file labda 😃😃😃😃Ulitufungisha ndoa lini?🙄
Ooh kumbe 🤣🤣🤣Si mlikuwa mnatongozana jukwaa fulani hivi amazing au nimechanaganya ma file labda 😃😃😃😃
Fundi Kama fundi, kutoka Madagascar 😂🤣
Ki ume amua kuishi kwenye dunia ya Kufikirika 😂🤣Kwqni hii dunia ni yetu😄😄 ukiishi kwenye uhalisia utateseka sana maana raha hakuna ishi kwenye ndoto mkulu
Nimeungana na Bill Lugano soon ntaanza safari za paris 😄bongo jauKi ume amua kuishi kwenye dunia ya Kufikirika 😂🤣
Ohh Ila usiji linganishe na billionaire Bill Lugano 😂🤣Nimeungana na Bill Lugano soon ntaanza safari za paris 😄bongo jau
Uyo ni level kubwa sana siwez mfikia kabsaOhh Ila usiji linganishe na billionaire Bill Lugano 😂🤣
Afu Fundi we pimbi tu, njoo bongo tukuvutishe msubaa🤣😂😂Uyo ni level kubwa sana siwez mfikia kabsa
😄😄Bangi za bongo amna kitu alafu ni makushabu ti tena low quality huku madagascar tunakula weed ya ubuyu unapata stimu na utamu huwez kuwehuka ila za uko kwenye komedi ukipga puff 3 tu akili inarukaAfu Fundi we pimbi tu, njoo bongo tukuvutishe msubaa🤣😂😂
😂🤣🤣, kweli una vuta ganja😂🤣🤣. Maana umejaa uhovyo tu😂🤣😄😄Bangi za bongo amna kitu alafu ni makushabu ti tena low quality huku madagascar tunakula weed ya ubuyu unapata stimu na utamu huwez kuwehuka ila za uko kwenye komedi ukipga puff 3 tu akili inaruka
😄😄Dah amna mkubwa burudani tuenjoy siku ipite mkuu😂🤣🤣, kweli una vuta ganja😂🤣🤣. Maana umejaa uhovyo tu😂🤣
Najua hiloo. Ndo Mana nakutingisha😂🤣, Afu mkuu ni wewe - mi mchimba chumvi tu 😂🤣😄😄Dah amna mkubwa burudani tuenjoy siku ipite mkuu