Nifanye Nini
Member
- Sep 5, 2022
- 61
- 147
Tanzania hii ukitoa Maharage na dagaa unaweza kusababisha sintofahamu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe maharage kilo 3200, dagaa kilo unajua ni sh ngapi?Tanzania hii ukitoa Maharage na dagaa unaweza kusababisha sintofahamu.
Mkuu unaongea utumbo Gani?dagaa maharage hazijawahi kuwa mboga za wanyonge kilo ya dagaa unajua bei yake kilo ya maharage unajua bei yake?.
Labda useme ni mboga pendwa ila sio mboga za wanyonge hata sku na moja
Hiyo haiondoi uhalisia kuwa ndio mboga zinazotumiwa na majority ya TanzanianWewe maharage kilo 3200, dagaa kilo unajua ni sh ngapi?
Wanyonge tunakula vzuri kuwashinda mataitaTanzania hii ukitoa Maharage na dagaa unaweza kusababisha sintofahamu.
Mnakula vizuri au mnakula kinachopatikana?Wanyonge tunakula vzuri kuwashinda mataita
Mtaja kula sumuMajani ya porini
Nimetoka kununua dagaa hapo Karume machinga complex kilo moja Ni elf 10 Sasa cjui mm Ni mjongedagaa maharage hazijawahi kuwa mboga za wanyonge kilo ya dagaa unajua bei yake kilo ya maharage unajua bei yake?.
Labda useme ni mboga pendwa ila sio mboga za wanyonge hata sku na moja
Kuki wa kisasa ni very cheap sanaTanzania hii ukitoa Maharage na dagaa unaweza kusababisha sintofahamu.
Hiyo kilo moja unakula siku ngapiNimetoka kununua dagaa hapo karume machinga complex kilo moja Ni elf 10 Sasa cjui mm Ni mjonge
Tunakula vzuri tena vzuri haswaMnakula vizuri au mnakula kinachopatikana?
Dagaa kilo Moja unakula Kwa muda Gani? Usijekuta ni budget ya mweziNimetoka kununua dagaa hapo karume machinga complex kilo moja Ni elf 10 Sasa cjui mm Ni mjonge