Ukiondoa Dagaa na Maharage wanyonge watakula mboga gani?

Ukiondoa Dagaa na Maharage wanyonge watakula mboga gani?

kuna siku nilikuwa bank moja nikaingia chumba cha meneja msaidizi nikamkuta dada wa makamo 42 anaongea na simu,ni kama alikuwa anapendekezewa zawadi ya dagaa na mtu aliye mkoani akawa anamjibu kwamba yeye dagaa hajawahi kula na hajui wana ladha gani hata jinsi kuwaandaa hajui[emoji28][emoji28]

dah nikawa naguna tu.
Kwa hiyo ukapata inferiority complex si ndiyo? Ukajiona duni mbele yake ghafla
 
kuna siku nilikuwa bank moja nikaingia chumba cha meneja msaidizi nikamkuta dada wa makamo 42 anaongea na simu,ni kama alikuwa anapendekezewa zawadi ya dagaa na mtu aliye mkoani akawa anamjibu kwamba yeye dagaa hajawahi kula na hajui wana ladha gani hata jinsi kuwaandaa hajui[emoji28][emoji28]

dah nikawa naguna tu.
Nakumbuka nilikuwa kwenye elevator pamoja na wamama wa mjini mmoja wao alikuwa ameshika bakuli limejaa sambusa sasa wakati elevator inafunguka ikatokea sintofahamu lile bakuli likadondoka yule mama akaziacha palepale sasa Mimi kama BabaMorgan the real slum dog millionaire ikabidi niziokote zote zilikuwa kama kumi moyoni nikakumbuku ule msemo usemao mungu akitaka kukupa hakuandikii barua nikatoa jero mfukoni nikanunua jambo the rest was history.
 
Back
Top Bottom