kyagata
JF-Expert Member
- Oct 18, 2016
- 10,406
- 19,892
Masai na dagaa wapi na wapi mkuu?Nimetoka kununua dagaa hapo karume machinga complex kilo moja Ni elf 10 Sasa cjui mm Ni mjonge
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masai na dagaa wapi na wapi mkuu?Nimetoka kununua dagaa hapo karume machinga complex kilo moja Ni elf 10 Sasa cjui mm Ni mjonge
Mboga ya wanyonge 😀😀😀kipande buku jero unaunga mchuzi mnakula baba mama na mtotoKuki wa kisasa ni very cheap sana
akili za masikini huwa zinawaza hivi[emoji23].
*matajiri wanakula kuku na pizza kila siku.
*matajiri hawafui nguo,zikichafuka zinatupwa.
*matajiri wanahela muda wote walipo.
*matajiri hawaugui.
maharage na dagaa ni mboga za masikini ndio,lakini ni mboga za matajiri pia wenye akili lakini.
Ni mnyonge kwa sababu hiyo kilo moja ya dagaa kiunyonge nyonge waweza kupata mboga ya wiki 2Nimetoka kununua dagaa hapo karume machinga complex kilo moja Ni elf 10 Sasa cjui mm Ni mjonge
Daga bei ya chini kabisa kilo ni sh 12000, na bei inaenda hadi 30000 kwa kilodagaa maharage hazijawahi kuwa mboga za wanyonge kilo ya dagaa unajua bei yake kilo ya maharage unajua bei yake?.
Labda useme ni mboga pendwa ila sio mboga za wanyonge hata sku na moja
Dagaa kilo Moja unaweza kula Kwa mlo mmoja?Daga bei ya chini kabisa kilo ni sh 12000, na bei inaenda hadi 30000 kwa kilo
naongea utumbo mpanaMkuu unaongea utumbo Gani?
Dagaa kilo Moja unakula Kwa muda Gani? Usijekuta ni budget ya mwezi
Wewe mmama muogope mungu kg moja ya dagaa ni ndogo.Kg moja ya Dagaa siyo nyingi sababu wananywea
Labda wale wa Kigoma
Vibe la kabeji kwenye kachumbali ni next level
Sana yaan, mimi naipenda.Vibe la kabeji kwenye kachumbali ni next level
Maelekezo mazuri sn haya.Kwa mfano mama mjamzito akienda kliniki ataambiwa ale dagaa apate madini chuma,matembele apate damu nyingi etc,bila kujali hali ya kimaisha ya clientakili za masikini huwa zinawaza hivi[emoji23].
*matajiri wanakula kuku na pizza kila siku.
*matajiri hawafui nguo,zikichafuka zinatupwa.
*matajiri wanahela muda wote walipo.
*matajiri hawaugui.
maharage na dagaa ni mboga za masikini ndio,lakini ni mboga za matajiri pia wenye akili lakini.
kuna siku nilikuwa bank moja nikaingia chumba cha meneja msaidizi nikamkuta dada wa makamo 42 anaongea na simu,ni kama alikuwa anapendekezewa zawadi ya dagaa na mtu aliye mkoani akawa anamjibu kwamba yeye dagaa hajawahi kula na hajui wana ladha gani hata jinsi kuwaandaa hajui😅😅Maelekezo mazuri sn haya.Kwa mfano mama mjamzito akienda kliniki ataambiwa ale dagaa apate madini chuma,matembele apate damu nyingi etc,bila kujali hali ya kimaisha ya client