Ukiondoa Dagaa na Maharage wanyonge watakula mboga gani?

Kwa hiyo ukapata inferiority complex si ndiyo? Ukajiona duni mbele yake ghafla
 
Nakumbuka nilikuwa kwenye elevator pamoja na wamama wa mjini mmoja wao alikuwa ameshika bakuli limejaa sambusa sasa wakati elevator inafunguka ikatokea sintofahamu lile bakuli likadondoka yule mama akaziacha palepale sasa Mimi kama BabaMorgan the real slum dog millionaire ikabidi niziokote zote zilikuwa kama kumi moyoni nikakumbuku ule msemo usemao mungu akitaka kukupa hakuandikii barua nikatoa jero mfukoni nikanunua jambo the rest was history.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…