Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Huu ni ujinga mkubwa kuangalia style over substance .Mwajiri gani mjinga ataangalia kizungu chako tu na kazi hauna ujuzi wowote? Kuna wachezaji EPL hawajui kiingereza chochote lakini wanachaeza vizuri sana na kuna marubani wa ndege wengi hawana kizungu au kijerumani kizurimlakini kazi wanapata sababu cha muhimu ni kazi sio lugha.Kazi zao ni English language tu, hiyo ndiyo skill pekee wanayojifunza maishani mwao, hivyo ukiondoa English language, nchi yote inakuwa jobless, hata Mahakamani nimeona kwenye TV iligeuka darasa la English language badala ya ishu!
Reli yote sgr wamejenga Wachina hkn engineers wa Kikenya, TV zao ni English language tu hakuna kingine, ...
Usafi? No man.Tuseme ukweli , wanaentreprenuarship skills znuri.Hata machinga wakule wako vizuri siyo kama hapa kwetu.Mji waNairobi uko maratatu au nne ya Dar kwa Barabara, Usafi,majengo na Biashara za uhakika.Wakiendelea hivi watafika mbali. Kwakweli wanajitahidi sana
weee umeenda au mkuu mji wa nairobi ni mchafu mno ni hapa katikati tu ambako nako kumejaa miraa nenda isilii weeeeeTuseme ukweli , wanaentreprenuarship skills znuri.Hata machinga wakule wako vizuri siyo kama hapa kwetu.Mji waNairobi uko maratatu au nne ya Dar kwa Barabara, Usafi,majengo na Biashara za uhakika.Wakiendelea hivi watafika mbali. Kwakweli wanajitahidi sana
kuna jamaa kasema Nairobi safi mkuu ulipaonaje? sijui kaadisiwaMimi niliefika Kenya maoni na maono yangu yapo tofauti na Barbarosa. Kama ungelisema nje ya Afrika waTanzania wajanja kuliko waKenya ningelikubali 100%.
Usiwafananishe wakenya na ww MTU wa chato, nadhani huwajui ila unaskia tu stor
Nadhani hajafika Nairobi,kuna jamaa kasema Nairobi safi mkuu ulipaonaje? sijui kaadisiwa
Mkuu Kigali ndio mwisho kwa usafi kwa east afrika nzima. Dar, Nairobi na Kampala ni kama watoto pacha.kuna jamaa kasema Nairobi safi mkuu ulipaonaje? sijui kaadisiwa