Hivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!
Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??
Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??
Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??
Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?
Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,
Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,
Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??
Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??
Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??
Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?
Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,
Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,
Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani