- Thread starter
- #21
Sawa mkuu, asante pia Kwa mawazo yako!Piga kinubi Mkuu, piga saaana, hii itasaidia jamaa atafufuka very soon arudie tena kiti chake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu, asante pia Kwa mawazo yako!Piga kinubi Mkuu, piga saaana, hii itasaidia jamaa atafufuka very soon arudie tena kiti chake!
Asante Kwa kushkuru! Karibu tena Mkuu.Sawa mkuu, asante pia Kwa mawazo yako!
Kwani wanachama wa mfuko hawachangii?Tumeambiwa mfuko moja wa pensheni hakuna kitu
TANESCOHivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!
Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??
Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??
Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??
Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?
Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,
Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,
Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Ngapi zimepotea huko mkuuTANESCO
1.5Tril ya CAGTPA Billion za kakoko
TASAC posho hewa za mabilion
TAMISEMI Overpriced Expenditure za ukarabati na magari n.k
Kwenye SGR ripoti ya CAG inasema walilipa wakandarasi kwa inflated Forex rate ili wagawane cha juu!!
CCM ni kansa alichofanikiwa JPM ni kubana tu utoaji taarifa otherwise hta tender za Bombardier kuna 10% pale zimeliwa
Chadema ni ebora na ccm ni kansa, sasa chagua kipi bora?TPA Billion za kakoko
TASAC posho hewa za mabilion
TAMISEMI Overpriced Expenditure za ukarabati na magari n.k
Kwenye SGR ripoti ya CAG inasema walilipa wakandarasi kwa inflated Forex rate ili wagawane cha juu!!
CCM ni kansa alichofanikiwa JPM ni kubana tu utoaji taarifa otherwise hta tender za Bombardier kuna 10% pale zimeliwa
Hvi nyie si ndio mliharibu mashamba ya Mbowe? Leo hii ndio mnajifanya mna penda kilimo kifanywe?Chadema ni ebora na ccm ni kansa, sasa chagua kipi bora?
Wapi matrecta ya chadema yaliyonunuliwa na mbowe?
Yanaoza badara ya kuwapa watu bure wakalimie na kuzalisha chkula.
Hayo ni matumizi mabaya ya uongozi
Tanzania ipi hiyo? Hii ambayo wanafunzi wanakalia maweAnayeiba anaweza akafanya yote hayo aliyofanya magu kwa muda mfupi ? Basi na aheri kuwa na mwizi anayeifanyia nchi maendeleo kuliko mwizi asiyeifanyia nchi maendeleo , nadhani wewe haupo Tanzania ndio maana unaongea haya , zunguka Tanzamia nzima nadhani hautarudia tena kuogea hizi pumba zako.
Hakuna alichofanya magufuli na wajomba zake akina doto james na team mataga ambacho hakina ufisadi. Ni bunge lipi limeidhinisha bwawa la Nyerere, uwanja wa chato, daraja la kigogo-busisi, mbuga ya chato-burigi nk?Hivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!
Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??
Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??
Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??
Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?
Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,
Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,
Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Anza na mikataba ya gas, ujenzi wa kituo cha Kinyerezi na mkataba wa ujenzi wa bomba la gas mkopo ulichukuliwa na nani na nani wanaendesha huo mradi wa kusupply gas TANESCONgapi zimepotea huko mkuu
Hivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!
Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??
Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??
Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??
Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?
Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,
Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,
Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Mzee kwanini hutaki kuelewa na umeshaambiwa Rais Magufuli hakuruhusu chombo chochote kukagua au kubainisha udhaifu/ufisadi kwenye miradi yake. Maana yake vyombo vya ukaguzi vingekuwa huru kukagua na kubainisha mapungufu/makosa/ufisadi kwenye miradi ya seeikali ya Magufuli kama ilivyokuwa enzi za JK tungeona mengi zaidi ya hiyo ATCL. Hebu jiulize maswali haya.Mkuu, hayo Ni matendo pengine twaweza kuyaita yasiyofaa, mada hii inataka tuanike ufisadi na wizi wa serikali yake, yaani ulaji wa fedha
Kama fedha zilijenga kitu, na hicho kitu wanatumia Watanzania ingawa ni Kwa makosa, huo sio ufisadi
Ainisha ufisadi kama ambavyo Lichimondi na EPA au Lugumi jinsi pesa zilivyokuwa ziapigwa
Kwani Richmond pesa kiasi gani ilipigwa? Nijibu hili tuende pamoja PslmpMkuu, hayo Ni matendo pengine twaweza kuyaita yasiyofaa, mada hii inataka tuanike ufisadi na wizi wa serikali yake, yaani ulaji wa fedha
Kama fedha zilijenga kitu, na hicho kitu wanatumia Watanzania ingawa ni Kwa makosa, huo sio ufisadi
Ainisha ufisadi kama ambavyo Lichimondi na EPA au Lugumi jinsi pesa zilivyokuwa ziapigwa
Alikuwa bingwa pia wa kuhonga vyeo kwa mahawara zake ni legacy pia ambayo ametuachia , mimalaya mingine mibovuuuu kama lile la KebbysMarehemu dikiteta magufuli alikuwa hapendi kukaguliwa matumizi ya fedha za walipakodi/wanyonge, mpaka ikapelekea kumuona cag Assad kama adui wa serikali yake, so ni obvious dikiteta magufuli alifanya ufisadi mkubwa ktk kila shirika la serikali.
Nenda kawahoji wote waliotoka Segerea kwa plea bargain wakuambie ni pesa ngapi DPP Biswalo Mganga kachukua binafsi kwa madai kuwa Mwendazake anataka na ngapi ndiyo imeingia kwenye recordsHivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!
Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??
Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??
Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??
Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?
Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,
Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,
Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Shilingi ngapi huko zimepigwa??Anza na mikataba ya gas, ujenzi wa kituo cha Kinyerezi na mkataba wa ujenzi wa bomba la gas mkopo ulichukuliwa na nani na nani wanaendesha huo mradi wa kusupply gas TANESCO
Tatizo sio ufisadi kumbe! Tatizo ni kuanzisha vitu visivyopendwa, Ila uwizi haupo siyo?Hakuna alichofanya magufuli na wajomba zake akina doto james na team mataga ambacho hakina ufisadi. Ni bunge lipi limeidhinisha bwawa la Nyerere, uwanja wa chato, daraja la kigogo-busisi, mbuga ya chato-burigi nk?
Na kuua watu na demokrasia ya watanzania.Tatizo sio ufisadi kumbe! Tatizo ni kuanzisha vitu visivyopendwa, Ila uwizi haupo siyo?
Mbona ni kama unalalamika mkuu, tutajie ufisadi (uwizi) na upotevu wa fedha uliobainishwa na CAG ukiondoa hasara ya shirika la ndegeTanzania ipi hiyo? Hii ambayo wanafunzi wanakalia mawe
Tanzania ambapo hadi chato mzee anaeleza hakuna madawa ila majengo makubwa ya hospitali....huduma zero
Tanzania ambayo wakulima bado wanategemea kilimo duni cha jembe?
Tanzania ambayo 70% ya graduates wapo mtaani tu bila future hku wana madeni mazito ya HESLB?
Ama ww maendeleo ni kuona madaraja na majengo tu ndio unahitimisha Tanzania imeendelea bila kuangalia maisha ya mtu mmoja mmoja?
Funny