Ukiondoa hasara ya shirika la Ndege ATCL, ni wapi tena penye ufisadi wa serikali ya awamu ya tano?

Ukiondoa hasara ya shirika la Ndege ATCL, ni wapi tena penye ufisadi wa serikali ya awamu ya tano?

Hivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!

Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??

Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??

Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??

Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?

Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,

Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,

Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
TANESCO
 
TPA Billion za kakoko

TASAC posho hewa za mabilion

TAMISEMI Overpriced Expenditure za ukarabati na magari n.k

Kwenye SGR ripoti ya CAG inasema walilipa wakandarasi kwa inflated Forex rate ili wagawane cha juu!!

CCM ni kansa alichofanikiwa JPM ni kubana tu utoaji taarifa otherwise hta tender za Bombardier kuna 10% pale zimeliwa
1.5Tril ya CAG
2Trilion ya CAG
 
TPA Billion za kakoko

TASAC posho hewa za mabilion

TAMISEMI Overpriced Expenditure za ukarabati na magari n.k

Kwenye SGR ripoti ya CAG inasema walilipa wakandarasi kwa inflated Forex rate ili wagawane cha juu!!

CCM ni kansa alichofanikiwa JPM ni kubana tu utoaji taarifa otherwise hta tender za Bombardier kuna 10% pale zimeliwa
Chadema ni ebora na ccm ni kansa, sasa chagua kipi bora?
Wapi matrecta ya chadema yaliyonunuliwa na mbowe?

Yanaoza badara ya kuwapa watu bure wakalimie na kuzalisha chkula.
Hayo ni matumizi mabaya ya uongozi
 
Chadema ni ebora na ccm ni kansa, sasa chagua kipi bora?
Wapi matrecta ya chadema yaliyonunuliwa na mbowe?

Yanaoza badara ya kuwapa watu bure wakalimie na kuzalisha chkula.
Hayo ni matumizi mabaya ya uongozi
Hvi nyie si ndio mliharibu mashamba ya Mbowe? Leo hii ndio mnajifanya mna penda kilimo kifanywe?

Acheni unafiki
 
Anayeiba anaweza akafanya yote hayo aliyofanya magu kwa muda mfupi ? Basi na aheri kuwa na mwizi anayeifanyia nchi maendeleo kuliko mwizi asiyeifanyia nchi maendeleo , nadhani wewe haupo Tanzania ndio maana unaongea haya , zunguka Tanzamia nzima nadhani hautarudia tena kuogea hizi pumba zako.
Tanzania ipi hiyo? Hii ambayo wanafunzi wanakalia mawe

Tanzania ambapo hadi chato mzee anaeleza hakuna madawa ila majengo makubwa ya hospitali....huduma zero

Tanzania ambayo wakulima bado wanategemea kilimo duni cha jembe?

Tanzania ambayo 70% ya graduates wapo mtaani tu bila future hku wana madeni mazito ya HESLB?

Ama ww maendeleo ni kuona madaraja na majengo tu ndio unahitimisha Tanzania imeendelea bila kuangalia maisha ya mtu mmoja mmoja?

Funny
 
Hivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!

Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??

Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??

Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??

Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?

Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,

Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,

Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Hakuna alichofanya magufuli na wajomba zake akina doto james na team mataga ambacho hakina ufisadi. Ni bunge lipi limeidhinisha bwawa la Nyerere, uwanja wa chato, daraja la kigogo-busisi, mbuga ya chato-burigi nk?
 
Ngapi zimepotea huko mkuu
Anza na mikataba ya gas, ujenzi wa kituo cha Kinyerezi na mkataba wa ujenzi wa bomba la gas mkopo ulichukuliwa na nani na nani wanaendesha huo mradi wa kusupply gas TANESCO
 
Hivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!

Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??

Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??

Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??

Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?

Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,

Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,

Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani


Yote ni mi CCM , haina kheri yoyote kwa nchi . Ni mijizi tu hata iwe awamu ya 100 damu na mzimu ni ule ule wa Laanatullahi Nyerere.

Ni mpaka hiki chama kikimfuata huyo mwanzilishi wake kuzimu ndio tutapata kuvuta pumzi
 
Mkuu, hayo Ni matendo pengine twaweza kuyaita yasiyofaa, mada hii inataka tuanike ufisadi na wizi wa serikali yake, yaani ulaji wa fedha

Kama fedha zilijenga kitu, na hicho kitu wanatumia Watanzania ingawa ni Kwa makosa, huo sio ufisadi

Ainisha ufisadi kama ambavyo Lichimondi na EPA au Lugumi jinsi pesa zilivyokuwa ziapigwa
Mzee kwanini hutaki kuelewa na umeshaambiwa Rais Magufuli hakuruhusu chombo chochote kukagua au kubainisha udhaifu/ufisadi kwenye miradi yake. Maana yake vyombo vya ukaguzi vingekuwa huru kukagua na kubainisha mapungufu/makosa/ufisadi kwenye miradi ya seeikali ya Magufuli kama ilivyokuwa enzi za JK tungeona mengi zaidi ya hiyo ATCL. Hebu jiulize maswali haya.
1. Kamati za Bunge zilikuwa wapi kwa miaka 5 ya hasara ya ATCL? Kwanini hii ya ATCL imekuja kubainika baada ya kufa Magufuli
2. Kwanini Magufuli alimg'oa CAG Asad? Kwanini Bunge halikufuatilia/kujadili Sh. 1.5T ambayo haikujulikana ilivyotumika kwa mujibu wa ripoti ya CAG?
Je, kuna ufisadi wowote enzi za JK au Mkapa au yote kwapamoja uliofikia kiasi cha Sh. 1.5 T
3. Je, kuna mkataba wowote wa miradi ya Magufuli ambayo uliwekwa wazi? Utajuaje kama hakuna ufisadi kwenye hiyo mikataba amabayo ni ya siri?
 
Mkuu, hayo Ni matendo pengine twaweza kuyaita yasiyofaa, mada hii inataka tuanike ufisadi na wizi wa serikali yake, yaani ulaji wa fedha

Kama fedha zilijenga kitu, na hicho kitu wanatumia Watanzania ingawa ni Kwa makosa, huo sio ufisadi

Ainisha ufisadi kama ambavyo Lichimondi na EPA au Lugumi jinsi pesa zilivyokuwa ziapigwa
Kwani Richmond pesa kiasi gani ilipigwa? Nijibu hili tuende pamoja Pslmp
 
Marehemu dikiteta magufuli alikuwa hapendi kukaguliwa matumizi ya fedha za walipakodi/wanyonge, mpaka ikapelekea kumuona cag Assad kama adui wa serikali yake, so ni obvious dikiteta magufuli alifanya ufisadi mkubwa ktk kila shirika la serikali.
Alikuwa bingwa pia wa kuhonga vyeo kwa mahawara zake ni legacy pia ambayo ametuachia , mimalaya mingine mibovuuuu kama lile la Kebbys
 
Hivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!

Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??

Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??

Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??

Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?

Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,

Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,

Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Nenda kawahoji wote waliotoka Segerea kwa plea bargain wakuambie ni pesa ngapi DPP Biswalo Mganga kachukua binafsi kwa madai kuwa Mwendazake anataka na ngapi ndiyo imeingia kwenye records
 
Anza na mikataba ya gas, ujenzi wa kituo cha Kinyerezi na mkataba wa ujenzi wa bomba la gas mkopo ulichukuliwa na nani na nani wanaendesha huo mradi wa kusupply gas TANESCO
Shilingi ngapi huko zimepigwa??
 
Hakuna alichofanya magufuli na wajomba zake akina doto james na team mataga ambacho hakina ufisadi. Ni bunge lipi limeidhinisha bwawa la Nyerere, uwanja wa chato, daraja la kigogo-busisi, mbuga ya chato-burigi nk?
Tatizo sio ufisadi kumbe! Tatizo ni kuanzisha vitu visivyopendwa, Ila uwizi haupo siyo?
 
Tanzania ipi hiyo? Hii ambayo wanafunzi wanakalia mawe

Tanzania ambapo hadi chato mzee anaeleza hakuna madawa ila majengo makubwa ya hospitali....huduma zero

Tanzania ambayo wakulima bado wanategemea kilimo duni cha jembe?

Tanzania ambayo 70% ya graduates wapo mtaani tu bila future hku wana madeni mazito ya HESLB?

Ama ww maendeleo ni kuona madaraja na majengo tu ndio unahitimisha Tanzania imeendelea bila kuangalia maisha ya mtu mmoja mmoja?

Funny
Mbona ni kama unalalamika mkuu, tutajie ufisadi (uwizi) na upotevu wa fedha uliobainishwa na CAG ukiondoa hasara ya shirika la ndege
 
Back
Top Bottom