- Thread starter
- #41
Okay!!Na
Na kuua watu na demokrasia ya watanzania.
Naendelea kujifunza nini Maana ya ufisadi, huo NAO ni ufisadi mpya!
Asante mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Okay!!Na
Na kuua watu na demokrasia ya watanzania.
4 trullion uioni au unafanya makusudi, ndugu yako alikua Hitler kwenye kodi zetu na maisha yetu.Mkuu, unaweza kupungua kidogo chuki ili uzungumze ukweli Kwa kuthiibitisha
Wewe ni binadamu bado, au umekaa kwenye nafasi ipi ukiwa hapa duniani, nafasi ya Shetani au nafasi ya muumba, kama haupo kwenye nafasi hizo, basi waache wenye nafasi hizo ndio waamuzi wa maisha yetu ya badaye!4 trullion uioni au unafanya makusudi, ndugu yako alikua Hitler kwenye kodi zetu na maisha yetu.
Ameenda JEHANAMU kwa roho yake mbaya.
Jikaze mjane si umeleta mada unauliza, usilolijua kumhusu yule Hitler wa polini 😂Wewe ni binadamu bado, au umekaa kwenye nafasi ipi ukiwa hapa duniani, nafasi ya Shetani au nafasi ya muumba, kama haupo kwenye nafasi hizo, basi waache wenye nafasi hizo ndio waamuzi wa maisha yetu ya badaye!
Utafanyaje Audit wakati hakukuwa na sheria wala pesa hazikuingia mfuko mkuu wa hazina.Hivi, pesa za vitambulisho vya Wamachinga CAG alifanya Audit?
Hata kelele za kivuko cha Bagamoyo-Dar zilipozidi, fasta sana akawapa Jeshi😁Utafanyaje Audit wakati hakukuwa na sheria wala pesa hazikuingia mfuko mkuu wa hazina.
Kumbuka bila kuingiza pesa hazina, ni ngumu kukaguliwa na Magu alipenda kutumia pesa juu kwa juu.
Kitu kingine alichopenda sana ni VOTE 20, fungu la pesa za Ikulu ambalo huwa halikaguliwi na hata likikaguliwa hakiwekwi hadharani.
Sehemu nyingi za upigaji Magu alihusisha hadi Jeshi, kiasi kwamba hata ukitaka kuwajibisha watu unashindwa.
Mfano halisi ni: Korosho, hii ni bonge la scandal ila linahusisha Ikulu na JWTZ ndio maana ni ksma halipo.
Kuna lile fungu lililomuondoa Prof AssadHivi, ufisadi wa JPM Ukiondoa zile hasara zilizosababishwa na ufufuaji wa shirika changa la Ndege ATCL ni wapi tena palipofanyika ufisadi mithili ya kipindi cha awamu ya nne!
Na Kwa nini ufisadi wake umechuja Kwa Kasi ya ajabu kutajwatajwa mitandaoni ili Hali bado tunakumbukia Lichimondi, EPA, Lugumi n.k ambapo ni ya kitambo Sana??
Huyu kweli alikuwa ni fisadiii...au wamemkandia??
Ile bilioni 60 ilisababishwa na hasara za kiuendeshaji ktk shirika letu la Ndege, Kwa nini uitwe ufisadi na sio usimamizi mbovu??
Ufisadi, Maana yake ni nini Kati ya pesa kupigwa na kupata hasara?
Katika wizara ya maliasili ya Wakati wa Kigwa, yeye alisema anasubiria apelekwe mahakamani kuwagalagaza,
Ni upi ufasadi wa kutisha wa Swami ya tano, au ni dili za kisiasa za watu...! Na Kwa nini tarifa hizi zichuje Kwa haraka kiasi hiki,
Ukichangia, useme ni wizara gani, ama shirika lipi la Serikali kumepigwa pesa na ni kiasi gani
Sawa mkuu, nimekuelewa.. lakini, kama ni kufa..! Mbona hata wewe Mungu kakutunzia hiyo Siri! Utajuaje kama ndo tunaagana na wewe baada ya mchango wako hapa!!Jikaze mjane si umeleta mada unauliza, usilolijua kumhusu yule Hitler wa polini 😂
Tutakujibu tu yale aliotufanyia watanganyika . Katufanyia Wizi Mateso na Mauaji. JEHANAMU inamuhusu mwana Haramu yule.
Na ATCL alivyoona watu wanaongea sana, akahamishia Ikulu. Magu kapiga sana.Hata kelele za kivuko cha Bagamoyo-Dar zilipozidi, fasta sana akawapa Jeshi😁