Ukiondoa malalamiko yake binafsi, ukweli mchungu aliouongea Mbowe jana ni "tunaongozwa na wabunge ambao hatukuwachagua"

Acha unafiki,mengi ya msingi ameongea,na yanasikitisha sana!
Yanaumiza,how could you do that? Unamfungia mtu acc mpk ya mshahara wake?
 
Hadi wewe unasema hivi? Ama kweli nchi hii imejaa wanafki mno mno

Sent from my vivo 1611 using JamiiForums mobile app
 
Wewe umeshiriki sana kufa kwa watanzania kwa kumsapoti Magufuli na timu yake ya wauaji, una la kujibu mbele za Mungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…