Ukiondoa Mawaziri, Wakurugenzi, wakuu wa Idara, mikoa na wilaya' wengine Serikali iwaagizie baiskeli ili kuokoa uchumi unaokufa

Ukiondoa Mawaziri, Wakurugenzi, wakuu wa Idara, mikoa na wilaya' wengine Serikali iwaagizie baiskeli ili kuokoa uchumi unaokufa

Trable

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2023
Posts
1,781
Reaction score
3,288
Shalomu Tanzania'

Kwanza, itasaidia sana, pesa nyingi zilizoelekezwa kununua magari ya viongozi, bajeti yake ielekezwe kwenye maendeleo.

Bajeti ya kunywesha mafuta magari hayo kwa mwaka mzima, pia ielekezwe kwenye maendeleo na bajeti hiyo itumike kama nyongeza ya mshahara kwa wafanya kazi.

Miaka mingi ya nyuma, dunia ilikumbwa na mgogoro wa kiuchumi, mafuta yalipanda kiasi cha kila nchi ilikipata cha moto.

Nchi ambazo hazikuwa na viongozi wazuri kichwani, ilikuwa ni mwanzo wa kudolora kwa uchumi katika nchi hizo, na kuliibuka maandamano makubwa kushinikiza viongozi wao kuachia madaraka kwa sababu ya ugumu wa maisha.

Upande mwingine, nchi kama China, kiongozi wa nchi hiyo aliona isiwe tabu, China ilistisha matumizi ya magari kwa baadhi ya viongozi wake na kuamua kutumia baiskeli.

Nchi wapenda Anasa, zilipigika vibaya na ndio kukawa mwanzo wa Taifa la China kuja juu kiuchumi.

Nashauri, Serikali yetu itumie mtindo huo wa kutumia baiskeli kwa baadhi ya viongozi wake, hii itasaidia sana kuokoa uchumi wetu kabla hatujaanza kufunga mkanda kukabiliana na anguko kubwa la uchumi.
 
Aisee wee ni bomu

Title ya uzi wako haiendani na main body ya uzi

Kwa taarifa yako hao uliowaorodhesha kwenye title ya uzi wako ndio wanaokausha fedha za umma

Katika utumishi wa umma ikiwemo wizara, mikoa na halmashauri; viongozi ndio wenye kupewa usafiri, watumishi wakawaida hawana hiyo privelage
 
Shalomu Tanzania'

Kwanza, itasaidia sana, pesa nyingi zilizoelekezwa kununua magari ya viongozi, bajeti yake ielekezwe kwenye maendeleo.

Bajeti ya kunywesha mafuta magari hayo kwa mwaka mzima, pia ielekezwe kwenye maendeleo na bajeti hiyo itumike kama nyongeza ya mshahara kwa wafanya kazi.

Miaka mingi ya nyuma, dunia ilikumbwa na mgogoro wa kiuchumi, mafuta yalipanda kiasi cha kila nchi ilikipata cha moto.

Nchi ambazo hazikuwa na viongozi wazuri kichwani, ilikuwa ni mwanzo wa kudolora kwa uchumi katika nchi hizo, na kuliibuka maandamano makubwa kushinikiza viongozi wao kuachia madaraka kwa sababu ya ugumu wa maisha.

Upande mwingine, nchi kama China, kiongozi wa nchi hiyo aliona isiwe tabu, China ilistisha matumizi ya magari kwa baadhi ya viongozi wake na kuamua kutumia baiskeli.

Nchi wapenda Anasa, zilipigika vibaya na ndio kukawa mwanzo wa Taifa la China kuja juu kiuchumi.

Nashauri, Serikali yetu itumie mtindo huo wa kutumia baiskeli kwa baadhi ya viongozi wake, hii itasaidia sana kuokoa uchumi wetu kabla hatujaanza kufunga mkanda kukabiliana na anguko kubwa la uchumi.
Boya kweli wewe
 
Nita kaa chini na Masoud Kipanya tuweze kutengeneza gari zinazotumia maji badala ya mafuta...
 
Shalomu Tanzania'

Kwanza, itasaidia sana, pesa nyingi zilizoelekezwa kununua magari ya viongozi, bajeti yake ielekezwe kwenye maendeleo.

Bajeti ya kunywesha mafuta magari hayo kwa mwaka mzima, pia ielekezwe kwenye maendeleo na bajeti hiyo itumike kama nyongeza ya mshahara kwa wafanya kazi.

Miaka mingi ya nyuma, dunia ilikumbwa na mgogoro wa kiuchumi, mafuta yalipanda kiasi cha kila nchi ilikipata cha moto.

Nchi ambazo hazikuwa na viongozi wazuri kichwani, ilikuwa ni mwanzo wa kudolora kwa uchumi katika nchi hizo, na kuliibuka maandamano makubwa kushinikiza viongozi wao kuachia madaraka kwa sababu ya ugumu wa maisha.

Upande mwingine, nchi kama China, kiongozi wa nchi hiyo aliona isiwe tabu, China ilistisha matumizi ya magari kwa baadhi ya viongozi wake na kuamua kutumia baiskeli.

Nchi wapenda Anasa, zilipigika vibaya na ndio kukawa mwanzo wa Taifa la China kuja juu kiuchumi.

Nashauri, Serikali yetu itumie mtindo huo wa kutumia baiskeli kwa baadhi ya viongozi wake, hii itasaidia sana kuokoa uchumi wetu kabla hatujaanza kufunga mkanda kukabiliana na anguko kubwa la uchumi.
Mkuu angalia upande wa pili- uagizaji wa mafuta utapungua na kupelekea mapato ya serikali kupungua
 
Back
Top Bottom