Ukiondoa Mwalimu Nyerere aliyetupatia Uhuru, na ukiacha Benjamin Mkapa kwa kiasi, Tanzania inaongozwa na Viongozi wenye uwezo wastani sana

Ukiondoa Mwalimu Nyerere aliyetupatia Uhuru, na ukiacha Benjamin Mkapa kwa kiasi, Tanzania inaongozwa na Viongozi wenye uwezo wastani sana

PhD

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2009
Posts
4,692
Reaction score
3,891
Kama mada kwenye kichwa ilivyo, ukimuondoa MZEE NYERERE aliyetupatia uhuru na kisha baadaye kuwa na Mzee Mkapa katika awamu ya tatu, niseme wazi Tanzania imekuwa ikongozwa na viongozi wenye uwezo mdogo na wastani sana.

Katika Uongozi, Mzee Mkapa ndiye angalau aliimarisha mifumo ya Serikali na kuweka wasomi wenye weledi katika Serikali haijatokea kama huyo tena.

Jakaya, JPM na hata SSH kwa kweli ni viongozi wenye uwezo wastani sana katika kuendesha Nchi. Kwa hali hiyo hata mifumo ya uongozi Serikalini katika awamu zao imejaa watu wa kawaida sana (below average)

Kwa msingi huo tutegemee danadana tu bila hatua zozote za maana. Itachukua muda sana kumpata MKAPA mpya wa Tanzania hii. Sioni kama ni leo ama kesho.
 
Ngoja kwanza tusubiri na maoni ya Team JPM. Binafsi naungana na wewe kwa kiasi fulani.
 
Subiri kujambiwa na Waarabu weusi wenye pua pana, nywele ngumu na lips zilizotawanyika, akina Mohamed Said, FaizaFoxy n.k

Ngoja wale maharage kwanza
 
Hii nchi hadi sasa marais wa maana ni Nyerere na Magufuli tu.
Hutakuja kusikia msomi wa Afrika akiongelea urais wa Mwinyi, Mkapa, JK wala Samia.
 
Hebu angalia kwanza na wabunge mnaochagua. Wangapi wana akili?
Mkuu bado nipo palepale, labda utulaumu sisi kwa kushindwa kuubadilisha mfumo wa kuchaguana uliopo kwa sasa - ila usitulamu kwa kuchagua hao wabunge maana kiuhalisia wananchi hatujawachagua ila mfumo ndiyo umewachagua.
 
Mkuu bado nipo palepale, labda utulaumu sisi kwa kushindwa kuubadilisha mfumo wa kuchaguana uliopo kwa sasa - ila usitulamu kwa kuchagua hao wabunge maana kiuhalisia wananchi hatujawachagua ila mfumo ndiyo umewachagua.
Yote hayo mnahusika na ndo maana mnaendelea kufurahia ... Nadhani mmepata mnachostahili.
 
Hata hao uliowataja ni wakawaida sana....inategemea na vigezo ulivyotumia..
 
Kama mada kwenye kichwa ilivyo, ukimuondoa MZEE NYERERE aliyetupatia uhuru na kisha baadaye kuwa na Mzee Mkapa katika awamu ya tatu, niseme wazi Tanzania imekuwa ikongozwa na viongozi wenye uwezo mdogo na wastani sana.

Katika Uongozi, Mzee Mkapa ndiye angalau aliimarisha mifumo ya Serikali na kuweka wasomi wenye weledi katika Serikali haijatokea kama huyo tena.

Jakaya, JPM na hata SSH kwa kweli ni viongozi wenye uwezo wastani sana katika kuendesha Nchi. Kwa hali hiyo hata mifumo ya uongozi Serikalini katika awamu zao imejaa watu wa kawaida sana (below average)

Kwa msingi huo tutegemee danadana tu bila hatua zozote za maana. Itachukua muda sana kumpata MKAPA mpya wa Tanzania hii. Sioni kama ni leo ama kesho.
Umesahau mzee ruksa, yeye alikuwa akiongoza nchi kama imam wa msikiti. Mfumo wetu wa kuwapata viongozi wakuu una kasoro ndio maana tunaona hata vichaa wakipewa nchi
 
Umesahau mzee ruksa, yeye alikuwa akiongoza nchi kama imam wa msikiti. Mfumo wetu wa kuwapata viongozi wakuu una kasoro ndio maana tunaona hata vichaa wakipewa nchi
Naunga mkono hoja yako mia kwa mia
 
Back
Top Bottom