Ukiondoa ngono ni kitu gani kingine kinakupa thamani kwa mume/mpenzi wako?

Ukiondoa ngono ni kitu gani kingine kinakupa thamani kwa mume/mpenzi wako?

Mwanamke nje ya Sex anaweza ku-offer
1. Kampani, Stori, utani, michezo,
2. Upishi
3. Malezi Kwa watoto na mume,
Mume kuogeshwa, kufuliwa na kunyooshewa nguo.
4. Starehe na burudan
Mnaweza muziki, mke anavaa mavazi ya kimuziki yenye kuvutia, kisha anaanza kucheza na kunengua,
Kukuimbia bahati nzuri Wanawake wengi wameumbwa na sauti nzuri.
Kuleta mbwembwe na madoido Kupitia mwili wake

5. Kutoa sapoti za kiuchumi.
Amini amini nakuambia Wanaume wengi siku hizi wenye vipato vikubwa wanasaidiwa Kwa sehemu kubwa na Wake zao.
Wapo wanawake wanakopa mpaka mamilioni ya pesa na kuwakabidhi waume zao kufanyia biashara.

6. Kukupa challenge za kuishtua Akili.
Moja ya jukumu la Mke mbali na kumpa mume utulivu ni pamoja na kum-challenge mume ili azidi kuchakarika kuleta maendeleo ndani ya nyumba.
Sio mke WA kila kitu ndio Mzee. Hilo garasa.

7 kukulinda.
Mke anakulinda kwani lazima awe anakufuatulia iwe Kwa kujua au kutokujua.
Ajue umetoka wapi, Kwa nini umechelewa,
Pesa Fulani imetumikaje, hizo ni KAZI za mke.
 
Mwanamke nje ya Sex anaweza ku-offer
1. Kampani, Stori, utani, michezo,
2. Upishi
3. Malezi Kwa watoto na mume,
Mume kuogeshwa, kufuliwa na kunyooshewa nguo.
4. Starehe na burudan
Mnaweza muziki, mke anavaa mavazi ya kimuziki yenye kuvutia, kisha anaanza kucheza na kunengua,
Kukuimbia bahati nzuri Wanawake wengi wameumbwa na sauti nzuri.
Kuleta mbwembwe na madoido Kupitia mwili wake

5. Kutoa sapoti za kiuchumi.
Amini amini nakuambia Wanaume wengi siku hizi wenye vipato vikubwa wanasaidiwa Kwa sehemu kubwa na Wake zao.
Wapo wanawake wanakopa mpaka mamilioni ya pesa na kuwakabidhi waume zao kufanyia biashara.

6. Kukupa challenge za kuishtua Akili.
Moja ya jukumu la Mke mbali na kumpa mume utulivu ni pamoja na kum-challenge mume ili azidi kuchakarika kuleta maendeleo ndani ya nyumba.
Sio mke WA kila kitu ndio Mzee. Hilo garasa.

7 kukulinda.
Mke anakulinda kwani lazima awe anakufuatulia iwe Kwa kujua au kutokujua.
Ajue umetoka wapi, Kwa nini umechelewa,
Pesa Fulani imetumikaje, hizo ni KAZI za mke.
Mazuri ila ukimpata kivuruge yani mwili wake uko apo roho yake na hisia zake zipo kwa mwanaume mwingine hakika utaona ni zaidi ya robot
 
255657643088_status_5d6398745f5c4b309dbb15144040f59d_1.jpg

Kelsea ukweli ndio huu
 
Tatizo mnayoyasema hawa wa mtaani hawayatimizi..

Yani on the papers mfumo ni 4 4 2
On the ground 2 4 3 1
Yani full kutindinganya😬😬
 
Yeaah ...kwa nyie watupu kichwani ni hivyo
Waafrica bwana tabu sana...yaani wanajiona nao wana akili kumbe hamna lolote. Nchi zao tuu zinakuonyesha kuwa hawa akili ila sasa waone wanavyomshambulia mtu ambaye ameshakubali ukweli wa mambo na anaendelea na kuchakata mbususu
 
Back
Top Bottom